Wa2 walosoma oxford au havard hawanaga dharau kwa wenzao lakn m2 kusoma mzumbe,iaa,sua na kwngne ndo anakuja kumkashfu m2 wa udom na st joseph,hamuwatendei haki hao jamaa.
kaka usipendelee kutoa comment kivivu hivyo wewe ushawai kuongea na hao wa oxford au ndo unataka kujenga theory mpya???........unapokuja hapa just remember upo na ma-great thinkers so toa vitu vinavyoendana na wanajukwaa kama vyuo vibovu tukikaa kimya watu watajua vipi mapungufu ya hicho chuo si ndo mwanzo wa wazazi kung'ang'aniza watoto wao wachague kwa ajili ya ile mijengo mipya kumbe hakuna kitu kinachotolewa zaidi ya kuzidisha wasomi vivuli,so we are here to speak out about the real issue that is going on there "madudu matupu".