vyuo hivi serikali inapotoka havina viwango tusiharakishe kwa kupata wasomi fake,St.joseph waalim fake last yr kulikuwa na doctorate moja tena kaondoka...nyingine ni principal hao wengine wahind wana masters za kuunga taarifa zilifika had kwa pinda ihakuna ufatiliaj..engineer alisoma EGM si utan,udom siasa wapi tunakwenda
Kwa upande wangu nakusamehe bure kwa kua hujui ufanyalo!.Japo si mwana UDOM!Udom kinapaswa kutoa Certificate, hakina hadhi hata ya kutoa Diploma. Samahani kama nitawakwaza wana udom.
Kwa upande wangu nakusamehe bure kwa kua hujui ufanyalo!.Japo si mwana UDOM!
Udom kinapaswa kutoa Certificate, hakina hadhi hata ya kutoa Diploma. Samahani kama nitawakwaza wana udom.
Udom kinapaswa kutoa Certificate, hakina hadhi hata ya kutoa Diploma. Samahani kama nitawakwaza wana udom.
udom wako juu sana, vilaZA ni st joseph
hey kaka Share ungeandika source ya taarifa yako maana bila ya hivyo kila mtu anauwezo wa kukurupuka na kuandika lolote lile.Elimu inayotolewa leo katika vyuo vyetu vikuu vingi vilivyoibuka kama uyoga ni janga kubwa la kitaifa kesho. Hayo yasemwayo kuhusu UDOM na St. Joseph ni kielelezo tu. Na sasa nasikia baadhi ya vyuo vikuu nchini wanataka kuanzisha Masters by coursework tu bila thesis yenye research component !! Hii ni balaa jingine. Maana yake ni kuwa sasa chuo kikuu ni sawa na sekondari: Unafundishwa kama toto, unatungiwa mitihani, unafaulu hata kwa kuibia, halafu unapata Masters !! Watazalishwa wapi watafiti ?
huelew lipi?ni kwamba NACTE wamesajili st.joseph bila kufatilia ubora wao hata wakienda kukagua wana toa taarifa kabla ya kwenda,hakuna facilities za kutoa degree na mazingira mabovu..balaa ukifatilia elimu za walim wao wengi si nzuri..UDOM serikali wanaendesha kisiasa watu hawasomi vile inavyotakiwa
Mna uvivu wa kufikiri
"fact fight for itself"
hakuna chuo bora bongo viko vyenye nafuu tu,tofautisha chuo kipya na chenye muda.kama wewe ni critical thinker huwezi kulinganisha udsm chenye miaka zaidi 30 na st.john chenye less than 5 years. Rudia chekechea inaelekea hujapitia ndio maana una mere discussion.
Wa2 walosoma oxford au havard hawanaga dharau kwa wenzao lakn m2 kusoma mzumbe,iaa,sua na kwngne ndo anakuja kumkashfu m2 wa udom na st joseph,hamuwatendei haki hao jamaa.
bado hujakua wewe unaropoka tu kisa umepata pa kuropokea kama unadis Teku au any institution na fikra zako changa unapoteza nin kwa wanaosoma huko na utapata nin wakisoma hapo ulipo..utawaua na njaa wanao kwa mawazo ulio nayo fikiria kwa kichwa na sio kwa moyo.wewe sawa na Teofilo kisanji University.