Wanajamvi kumekuwepo na msemo kuwa miaka ya nyuma ndio kulikuwa na wanafunzi bora kielimu kuliko miaka ya sasa ambapo wengi wanadai wanafunzi ni vilaza,naomba tuweze kuifuta kauli hii kwa sababu zifuatazo;
1.zamani kulikuwa na selected vitabu vya kusoma mwanafunzi wakati kwa sasa hakuna selected vitabu kwa somo lolote.Maana zamani serikali iliweza kuzuia vitabu visivyo na vigezo,wakati miaka ya sasa vitabu pamoja na vitini visivyo na vigezo vinaruhusiwa mashuleni.kwa sababu hiyo wanafunzi hutofautiana vitabu vya kusoma na ndio maana hufeli kutokana na tofauti ya vitabu vilivyokinzana kimaandishi.
2.kipindi cha zamani mitihani ilitolewa kutokana na umesoma nini{what you learned} lakini miaka ya sasa inategemea sana kipi umeelewa mwanafunzi{what you understand}.hivyo hata miaka ya sasa endapo wangetoa mitihani inayohusu ulichosoma nazani wengi wangefaulu,ila inakuwa ngumu kufaulu kwa sasa kwa kuwa wana majukumu mawili kusoma na kuelewa kitu anachokisoma.
Nawasilisha.
1.zamani kulikuwa na selected vitabu vya kusoma mwanafunzi wakati kwa sasa hakuna selected vitabu kwa somo lolote.Maana zamani serikali iliweza kuzuia vitabu visivyo na vigezo,wakati miaka ya sasa vitabu pamoja na vitini visivyo na vigezo vinaruhusiwa mashuleni.kwa sababu hiyo wanafunzi hutofautiana vitabu vya kusoma na ndio maana hufeli kutokana na tofauti ya vitabu vilivyokinzana kimaandishi.
2.kipindi cha zamani mitihani ilitolewa kutokana na umesoma nini{what you learned} lakini miaka ya sasa inategemea sana kipi umeelewa mwanafunzi{what you understand}.hivyo hata miaka ya sasa endapo wangetoa mitihani inayohusu ulichosoma nazani wengi wangefaulu,ila inakuwa ngumu kufaulu kwa sasa kwa kuwa wana majukumu mawili kusoma na kuelewa kitu anachokisoma.
Nawasilisha.