Hii ni sababu ya kishabiki au sababu ya kitaalamu?Hanscan ni noma Kuzidi Kenny .
Kenny anabebwa na Label .
Hanscana Ana idea nyingi sana Angalia Video Za "Diamond" Zilizo Shutiwa na Kenny nyingi Ameiba Idea za Nyimbo za Watu
Hilo basi ni extra luxury na si uda, full utulivu ndaniMtu mwenyewe umepanda bus la mkoan lenye kunguni utaelewa nini hata ukiambiwa
Sababu ni nini?Wasanii wakimtumia Kenny wa Zoom extra clouds EATV na ETV hawatocheza nyimbo zao
Sasa mkuu lakini elewa tu hanscana ni next level anafanya kazi kutokana na bajeti yako.more money good work.Hilo basi ni extra luxury na si uda, full utulivu ndani
Kweli, lakini mashambulizi mengi kwa kenny yanatokana na kufanya kazi na Diamond ila hata hanscana naye anatumia idea za watu.Kwanza ujue tu Kenny alikuwa mbeba camera wa hanscana.itoshe halo.
Kumfananisha hanscana na Kenny ni sawa messi na dilunga
Acha utopolo Kenny baba lao[AFRIMA WINNER?]Hanscan ni noma Kuzidi Kenny .
Kenny anabebwa na Label .
Hanscana Ana idea nyingi sana Angalia Video Za "Diamond" Zilizo Shutiwa na Kenny nyingi Ameiba Idea za Nyimbo za Watu
Mbona watu wengi wanakimbiliaga KUBEBWA NA LABEL, vinaniboa na nyie undeni label yenu iwabebe ebooooh limeniboa KENNY BABA LAONyie kila kitu mnaonaga jamaa wanaiba tu, muwe mnajificha kidogo, mnatuaibisha
Basi why Kenny anakuwa recognizable kwenye international awards unlike hanscana?Inasemekana Kenny ndy anamkopi Hanscana, kwahy Kenny anangarishwa na Hans
Kuwa mbeba camera hapa sio hoja, hoja who is the best obvious is KENNY njoo kwa hoja na sio personal attacksKwanza ujue tu Kenny alikuwa mbeba camera wa hanscana.itoshe halo.
Kumfananisha hanscana na Kenny ni sawa messi na dilunga
Mada umeielewa lakini..? Kenny Vs hanscana unakimbilia kusema Mambo ya product Hama kweli shule ni muhimu sanaKenny ni product ya Hanscana
Watu tunatofautiana, so ukiona Bora na mwingine Ana kitu chake Bora so calm down ama uache shobo mdundoHuu ni ukweli sipendi blah blah
MTU anaona kabisa kazi zake huyo jamaa halafu bado unauliza ubora wake ukwapi.
Ukiwa kwenye platform kama hii tegemea kupata majibu ya aina tofauti.
Nimemaliza
alikuwa anaweza sanaAnafanya kazi ya baba yake zaidi.
Kitaalamu kutokana na kusema Kenny ana copy ideas za hanscana ndo akasema mdau je ukiangalia hizo video mbili Nani kamcopy mwenzake, so nashangaa umekurupuka . Jua ideas zinajirudiaga sawa dogo langu.Hii ni sababu ya kishabiki au sababu ya kitaalamu?
Kweli hakuna jipya lakini Kenny anafanya kazi sehemu yenye vifaa vizuri ,bajeti nzuri.Kweli, lakini mashambulizi mengi kwa kenny yanatokana na kufanya kazi na Diamond ila hata hanscana naye anatumia idea za watu.
Sasa wasafi si Wana AFRIMA WINNER DIRECTOR KENNY au uantaka Nini Tena?Sasa mkuu lakini elewa tu hanscana ni next level anafanya kazi kutokana na bajeti yako.more money good work.
Tatizo lake ana jeuri mnoo saivi alishagombana na wasafi .huwa hababaishwi
Na ndo director Bora pamoja na tubeligth zake sawa ko tukiza mihemko dogoKweli hakuna jipya lakini Kenny anafanya kazi sehemu yenye vifaa vizuri ,bajeti nzuri.
Ila hanscana anafanya hats video za mil 5 na vitu vinatoka vizuri .idea alizocopy Hans ni chache mnoo .
Kenny video zake nyingi anaweka ma tube light.
Ila jamaa alisomea ufundi umeme