Ubora wa Hanscana upo wapi kulinganisha na Directors wengine wa video?

Ubora wa Hanscana upo wapi kulinganisha na Directors wengine wa video?

Sasa wasafi si Wana AFRIMA WINNER DIRECTOR KENNY au uantaka Nini Tena?
Huyu nae katokea wapi jmn?
IMG_20200805_201306.jpg
 
Kitaalamu kutokana na kusema Kenny ana copy ideas za hanscana ndo akasema mdau je ukiangalia hizo video mbili Nani kamcopy mwenzake, so nashangaa umekurupuka . Jua ideas zinajirudiaga sawa dogo langu.
Umeandika kitu ambacho hakieleweki kabisa, na wala huzifahamu sababu za kitaalamu.

Nilitegemea ungesema, Kenny ni mtu wa backgrounds sana na Hanscana ni mtu ambae hatumii backgrounds, vilevile ukimpeleka Hans location yoyote anafanya kazi kwa ustadi uleule ambako ukimpeleka Kenny atazingua.
Hizi ndio mfano wa sababu za kitaalamu na sio ulichojibu!

Na mwisho mimi sio dogo lako nina mtoto mwenye umri wa miaka 19 siwezi kuwa dogo lako hata kidogo!
 
Ukiwa mbinafsi lazima utaishiwa ubunifu ila ukiwa unashirikisha watu utapata idea mbalimbali mpya cha msingi usiwe mbahili,sometimes ukitaka kumantain ukubwa wako lazima uwekeze hela na uwe na rasilimali watu wa kukushauri.
 
Kweli hakuna jipya lakini Kenny anafanya kazi sehemu yenye vifaa vizuri ,bajeti nzuri.

Ila hanscana anafanya hats video za mil 5 na vitu vinatoka vizuri .idea alizocopy Hans ni chache mnoo .

Kenny video zake nyingi anaweka ma tube light.
Ila jamaa alisomea ufundi umeme
kuhusu idea za video mondi ana maadui mzee, nani alikuwa anamjua iza hapa bongo???
Nandy video yake ya na nusu kuna kipande amekopi kwenye video ya tip toe ya Jason delulo ila ulisikia wapi inaongelewa???
Kuna ile wezele ya rich mavoko alikopi full video ya burnaboy ya on the low ila hakuna ilipoongelewa.
Mti wenye matunda ndio ambao hupigwa mawe, hanscana anacopy video nyingi tu sema tu hafuatiliwi.
 
Back
Top Bottom