jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wazikimbie kwanini na mlisema mtashinda kwa goli nane siku ya nane nane?Mpaka sasa sijaona uzi wa mtu kuisifia ama kuiponda yanga, ila simba nyuzi za kujitetea ni nyingi sana.
Mtazikimbia hizi, haya tusubiri tu.