Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

😎
 

Attachments

Kumekuwa na maneno ya kuhoji producer mkali all the time kwa Bongo,wapo wanaotaja taja hadi wakina T-touches na S2kizy!!
Uzi ni maalumu kwa ajili ya tracks za Bongo Records ili vijana wachanga waweze kutambua kazi za Godfather huyu mwenye misimamo.

Baadhi ya kazi za Bongo Records,wadau wengine watatuwekea pia na Mimi nikiendelea kuzipandisha kila nitakapopata fursa!!

Enjoy!
Cp...6 in the morning. Ringtone yangu ya wakat huo...
 
mida ya iftar hii
 

Attachments

Back
Top Bottom