Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,896
- 4,058
Anapokuwa Timu ya Taifa huwa naangalia uzuri wa Samatta ambao natarajia kuuona, siuoni. Sikumbuki ni lini amewahi kutuokoa kwenye hali tete zaidi ya kufunga magoli rahisi na ya kawaida.
Tena bora hata siku za nyuma kuna kitu alikua anajarbu kufanya. Siku zinavyozidi kwenda namuona amekua mzuri kwenye kujieleza kabla na baada ya mechi kuliko uwanjani. Nimjuavyo Samata km akiamua kujituma kupata penalti, kila mechi au faulo za kutosha inawezekana. Cha msingi aache kucheza kifazafaza.
Tunashambuliwa sana kwa sababu timu yetu haina hatari sehemu ya mbele, watu wanaona hatuna madhara hivyo wanaamua kuja.
Mbwana inabidi ajitafakari kama anataka kuwa Legend wa nchi hii kwa kizazi cha sasa, la sivyo watabaki kuwa akina Erasto,Yondani na Kaseja.
Tena bora hata siku za nyuma kuna kitu alikua anajarbu kufanya. Siku zinavyozidi kwenda namuona amekua mzuri kwenye kujieleza kabla na baada ya mechi kuliko uwanjani. Nimjuavyo Samata km akiamua kujituma kupata penalti, kila mechi au faulo za kutosha inawezekana. Cha msingi aache kucheza kifazafaza.
Tunashambuliwa sana kwa sababu timu yetu haina hatari sehemu ya mbele, watu wanaona hatuna madhara hivyo wanaamua kuja.
Mbwana inabidi ajitafakari kama anataka kuwa Legend wa nchi hii kwa kizazi cha sasa, la sivyo watabaki kuwa akina Erasto,Yondani na Kaseja.