crusader_jr
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 994
- 851
Wakuu salamu zenu katika ubora.
Samahani nlitaka kuulizia sifa na ubora aa simu za OPPO. Nina 250,000 so naomba ushauri, na hapa Dar es salaam-Kariakoo dealers wanapatikana wapi.
Sifa zihusishe proccesor, battery, storage, camera, face detector, android version, RAM na mengineyo mnayoyajua kwenye hizi simu na hasara zake kama zipo.
Samahani kama nimetumia Kiswahili vibaya kwenye uzi huu ila naombeni ushauri.
Nawasilisha.
Samahani nlitaka kuulizia sifa na ubora aa simu za OPPO. Nina 250,000 so naomba ushauri, na hapa Dar es salaam-Kariakoo dealers wanapatikana wapi.
Sifa zihusishe proccesor, battery, storage, camera, face detector, android version, RAM na mengineyo mnayoyajua kwenye hizi simu na hasara zake kama zipo.
Samahani kama nimetumia Kiswahili vibaya kwenye uzi huu ila naombeni ushauri.
Nawasilisha.