Ubora wa Singida Big Stars utaiaibisha Simba SC kwa Mkapa

Hii mechi ni tamu sana atakayefanya utoto atapigika kama mbwa koko
Binafsi sina shaka na wachezaji bali Plujim. Ana historia mbaya sana alivyokuwa Singida united anapocheza na Simba katika uwanja wa Mkapa. Leo hii pia pamoja na kuwa na kikosi imara na bora cha Singida big stars anaweza akashindwa kuzitumia vyema silaha zake mbele ya Simba.
 
Apo uko wrong kidogo

Umewaangalia vizuru singida now days?

Kagoma na Kelvin nashon + ndemla wamewapa balance kubwa wana posses sana

Refer mechi na team yangu AZAM waliupiga mno
Nimekusikitikia sana Aziza mtamu dah🤣🤣🙌
 
Reactions: Tui
Kweli yanga wenye akili ni wawili Tu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Rudi uendeleze uharo wako.
 
Wewe umekuaje Utopolo lazima wewe ni mazalia ya mwisho mwisho una akili kidogo kulinganisha na Utopolo wenzako.Inawezekana genetic Baba yako ni Simba.
 
Umaweza ukaukana uzi wako!
 

Singida wanajielewa sio
 

Vp hizo battle zako zimekupatia majibu au bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…