Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Nimependa nasaha zako. Kuna watu wananitisha eti wanaume hawataoa mwanamke mwenye umri mkubwa, na wanasema kuwa kufanya hivyo ni sawa na kununua gazeti jioni. Wamenitisha hao!!
 
Wewe na Mh. Samia nani mwenye cheo kikubwa?
(Sijui marital status ya Samia). Lakini hebu fikiria kama awe hajaolewa, kuna mbunge, waziri, au mkurugenzi, RC, DC, RAS, DAS, etc yeyote anaweza kumwambia habari za uchumba?
 
Sexless,
Mbona malikia wa Uingereza ana mme? Una shida tu wewe, ikiwemo hii ya kujishaua mitandaoni kuwa wewe ni bosi.
 
Mkuu juzi kati hapa ulikuja kuomba ushauri kuwa mkeo ana bonge la wowowoo na linatumwa huko whatsApp ..leo unatuambia wewe ni mwanamke

Anyway wewe ni taasisi
 
Boss unakunja box ngapi Tuanzie hapo kwanza!
 
Mkuu hii ngumu kidogo
Change ur mindset kuhusu hilo. then lijengee hoja mbele kwa mbele. bado umri unaruhusu kuna mdada ( bibi) ana 42 na hana presha ya kuolewa anaamini yupo mumewe mzuri anakuja.
 
Change ur mindset kuhusu hilo. then lijengee hoja mbele kwa mbele. bado umri unaruhusu kuna mdada ( bibi) ana 42 na hana presha ya kuolewa anaamini yupo mumewe mzuri anakuja.
Huyo atakuwa ana ugonjwa wa akili. Hawezi kuwa ameifikia menopause halafu anaamini ataolewa. Ataolewa akafanye nn kwa mume?
 
Huyo atakuwa ana ugonjwa wa akili. Hawezi kuwa ameifikia menopause halafu anaamini ataolewa, akiolewa aakafanye nn kwa mume?
Cjui una amini dini gani. ila imani ni mtaji mkubwa katika changamoto tunazopitia katika maisha yetu ya kila siku.
aliwahi kusema alikuwa mtu wa sheria na selection by then and wanaume wakawa wanamgwaya. nw anamuomba Mungu.

Wakuu JF wametoa ushauri wao, chukua mambo mema omba Mungu bila kukoma, Mungu atakujibu kwa wakati wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…