Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwekwekwe! Alaaa kumbeee, dah!.
Hapo ndipo unapopishananao, je unavyowakatalia kuwapa papuchi wee bado bikra? Kama hauna utakua mnafiki kuwanyima!Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Kwahiyo kumbe huwa unachukuliwa.Ke. Lkn sichukuliwi na wahovyo hovyo.
viapo vishavunjwa na vinavyunjwa ili mradi uhaidi ndoa unavunjiwa ahadi yake. Shida naona hajui kung'ang'ania mtu sababu ya kazi yake anakuona wa nini?Kwahiyo kumbe huwa unachukuliwa.
So we ni bikira?Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Bila shaka umesomea ushauri nasaha.1. Unapotoka nje ya mazingira ya kazi usiendelee na ubosi wako
2. Jichanganye kwenye makundi mema baada ya kutoka kazini kama wewe ni mkristo nenda kwenye vyama vya kitume au kwaya.
3.Jitahidi kuwa myenyekevu kwa watu waliokuzidi umri na tabia yako isomeke hadharani kuwa ni njema
4.Usiishi maisha ya juu sana kama kuendesha gari masaa yote kwani neema za wanaume unazikosa saa nyingine unapotembea kwa miguu ndio waoaji wanakuona na kuanza kukufukuzia
5. Usipende kuvaa vitu vya garama saana kwani kuna wanaume wema wataona wakikuoa utawaingiza hasara hata kama ana kipato
6. Epuka sana kuwa wa bandia kama kubadilisha ngozi na kuvaa madude mengi artificial kwani kuna wanaume wengi hutathmini mwanamke aliyebadilisha ngozi kuwa hata tabia yake anaweza kuibadilisha kama kinyonga jinsi apendavyo na ajiamini na uzuri aliopewa na Mungu
7.Usipende kukosoa wanaume hadharani kwani kwa yule unayemkosoa kuna wengine wanakufuatilia kwa siri bila kukuambia na ukiona kitu kidogo tuu gubu la kufa mtu basi na wao wanajitoa kiulaini
8. Epuka sana kufikiria kuolewa na msomi mwenzako ama tajiri bali yeyote utakayempenda na anayekupnda kwa dhati na mwenye tabia njema anaweza kukufaa na mkaishi maisha mazuri na ya amani kuliko msomi mwenzako ambaye kwanza kumpata inakuwa kazi kwani baadhi huoa ambao hawajasoma kwa sababu hushuhudia live vituko vinavyofanyika vyuoni
9. kubali utumwa na kamwe usishawishike na wanaharakati wanataka kuwa sawa na wanaume
10. Kumbuka kuwa katika muungano wowote kila mtu lazima apoteze sehemu ya uhuruwake na kupokea mapungufu ya mwenzake na kuyavumilia. Hivyo usitarajie mtu ambaye yupo pafect kama malaika ndio akuoe utakosa wale ambao uliowakataa kwa kusema sii kiwango chako masi kama bado wapo warudie kwa unjenyekevu laa sivyo "imbombo ngafu""
Italiwa na nyenyere, mara nyingi mademu wagawaji wanaolewa kwasababu wanaongea na wanaume, kama una msimamo mkali wanakaa pembeni maana wanaume nao hawataki shida, kumfukuzia msichana mwaka mzima bilabila ilishapitwa na wakati.Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Sasa ndio arukiwe na fundi viatu au mekanika hao?Acha kutembelea gari yako panda daradara hama usuani Acha nymba yako njoo upange chumba kimoja huku kwetu uswazi ukivuka wiki hujarukiwa utakuwa na gundu
HahahaaaaEwe dada unaweza kuwa kila siku unamtafuta mchawi kwann huolewi, kumbe mchawi ni wewe mwenyewe.<br /><br />Kilomita za umri zinasonga wewe unazidi kuchubua magoti kwenye nyumba za ibada ukiomba upate mume, lkn kumbe tabia zako ni kama bulldozer inayosukumia mbali.
Haya maneno nmeyatoa kwenye uzi wako " nkisikia I drink socially"