Acha alinge na cheo chake cheo kitawaoaKUOLEWA NA CHEO HAVINA UHUSIANO NA KUTOOLEWA, ILA TABIA INAYOENDANA NA MAJIVUNO YA CHEO NA UWEZO NI SUMU KUBWA KWA MAHUSIANO, UKIWA MNYNYEKEVU HATA KAMA WEWE NI TRUMP UTAPENDWA, YOU LIVE WITH YOUR PROBLEM IN YOUR HEART AND PERSONALITY AND SIO CHEO!
Hana bahati huyoAmesema kila kitu kiwe hadharani ili wadau tumsaidie kubaini mwenye mapenzi ya kweli
Nikisema mil. 5 atathibitishaje kwa mfano au niattach salary slip. But by the way salary ndiyo nn kwenye maisha.Hana bahati huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]utaweza kuwa mke wapili?..afu uboss wako hukohuko kazini ukija kwangu unalala uchi
Bila shaka utakuwa dokta Manyaunyau, maana ndiyo mwenye uwezo huoPm na yako ya simu,kama uko dar,tuonane siku moja,nikikuona tu, ntakwambia tatizo nini,
na hapo ndo tatzo lilipo mkuu, anaposema ukubali utumwa si kama unavyozania wewe ila anamaanisha umuheshimu mwanaume kama mwanaume na wewe ujue ni mwanamke tu. MUNGU akupe utakalo ila punguza kiburi na majidai.Mkuu hii ngumu kidogo