Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Hizo thread unaziangaliaje mkuu mbona profile yake imefungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri mzuri.
 
Pumbavu
 
Kwa Tanzania Nyie Mashoga ni ngumu kuolewa. Pili huna ubosi wowote usitake tapeli watu. Labda wadanganye wa Buza
 
Weka tangazo kuwa unatafuta mume wa kukuoa na vigezo vyako, mbona mimi kuna mdada miaka ya nyuma aliwahi kuni approach na kunipa makavu live kwamba ananipenda? Nilistuka sana but alikomaa mpaka nilikubali na baadae nikagundua alikuwa poa sanaaa
 
Pole sana dada na je uko mkoa upi na una umri Gani? Ukipenda nifuate inbox mm nipo Kilimanjaro
 
Njoo inbox tuyajenge. Upate hata mtoto muhimu
Njoo inbox tuyajenge. Upate hata mtoto tu muhimu
 
Kaza kamba. Rafiki yangu Natty alikuwa kama wewe. Ni bosi kazini, ila kakomalia msimamo wake. Kapata Black American anapaa mwezi wa nne
 
Oh pole kuna mwanafunzi wangu pia ana 35 sasa,yeye pia anahangaika hajaolewa na hajazaa,pia hataki kuzaa bila ndoa,anahangaika sama kama ulivyo wewe
 
Hatimae nimempata niliyekuwa namtafuta muda mrefu, njoo pm tuyajenge biharusi
 
Migegedo kama kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…