Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Mtu wa kawaida anaandika ushauri kwa namba yaan toka 1 had 9 sio bure dada mtafute huyu.
 
Kuna dada nilisoma nae yupo temeke Hosp ni midwives (mkunga) hana mtoto kila siku analia hajawah pata ata mimba akatoa au kuolewa analiaga sana anapokuja mtu w kujifungua chini ya miaka 25, Yeye ana miaka 35 sasa
Nipe namba yake mimi nimpe mimba
 
wewe utakuwa hujataka kuolewa wanaume wengi namna hii tunawatafuta watu kama nyie leo unasema umekosa!!!!
 
Utapata tu, inawezekana umejiweka kama chombo cha starehe na si km mwanamke anayetafuta kuolewa. Aidha kwa mavazi yako, maneno kupitia maongezi yako, uzungu mwingi...mahali unapoabudu mshirikishe kuhani wako kwamba unahitaji mume, watakaojitokeza usichague sana
 
Mwanamke kumpata mwanaume umtakaye ni wewe tu. Kaa kwenye mkondo upitiwe na baraka hizi
 
Utaweza kuwa mke wa pili? Afu uboss wako hukohuko kazini ukija kwangu unalala uchi
 
Weka picha au haina haja ubosi wako ni picha tosha please kwa vyuma hivi wewe ni gold haki ya nani
 
Mimi Niko tayari kukupa mbegu,
Tena mbegu dume ili nawe uitwe mama,
Ila kwenye malezi ya mtoto utapambana na hali yako
 
Sexless,
Mwenzako Joyce Kiria nae alikuwa na matamanio kama yako kampata mme, kaanza kumletea mbwembwe, wanawake wenye Pesa wanazingua.
 
Tatizo sio U Boss wako shida ni madharau, kikubwa punguza kuchagua sana nimeona huko umesema wanaume wa hovyo huwataki hao wa hovyo sijui wakoje. Miaka iangalie sana inasonga hiyo wanaume huwa tuna tabia ya kuwaogopa wanawake waliokaa miaka ming sana bila kuolewa.
 
You better be alone mysister than being married with a wrong husband!and vice versa!
Have faith
 
Acha kutembelea gari yako panda daradara hama usuani Acha nymba yako njoo upange chumba kimoja huku kwetu uswazi ukivuka wiki hujarukiwa utakuwa na gundu
Duh! Sasa kwanini kujitesa hivyo?
 

Unampotosha. Huyo atazeeka na ubosi wake mpaka aache nyodo, bibie uwe unakuja pale gym mayfair tupo sisi tunaotafuta wanawake kama nyie
 
Wengi hushindwa kuwafikia watoto wa ushuani kwa kudhani matawi ya juu yana wenyewe ukijishusha utampata sasa unapita kwenye kiyoyozi nitakusimamisha vipi nipo kwenye daradara tembea tuonane upo kwenye fansi mbwa askali getini ninaingiaje njoo uswazi nyumba moja watu kibao hakuna fansi tutaonana tufauti na hiyo watumishi wenzako hapo ofisini ndio mnao kutana (vogi na daradara) wapi na wapi hutoolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…