Hivi kuna Mtanzania abatangaza ndoa bila kupewa k? nadhani tatizo linaanzia hapoNyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Unamaanisha bikira yako bado ipo vilevile.Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Mkuu nipe mawasiliano Yake uyo dadaKuna dada nilisoma nae yupo temeke Hosp ni midwives (mkunga) hana mtoto kila siku analia hajawah pata ata mimba akatoa au kuolewa analiaga sana anapokuja mtu w kujifungua chini ya miaka 25..... Yeye ana miaka 35 sasa
kwa hiyo wewe ni bikra au?Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Usimuongopee mtoto kuzaliwa hata kumaliza elimu ya chuo huwa na wastani wa miaka 23-25 yeye atakuwa na mingapi ili aweze kumsaidia mtoto bila shida na akiwa na nguvu uzazi mzuri unatakiwa uwe na miaka 26-28 mtoto mnakwenda sawaHuna haja ya kufanya hivyo,miaka 33 bado una nafasi kabisa nani kakuambia wazee wako 30s,acha mawazo hayo kuna watu wanaolewa na 45 wewe bado kabisaa wala sio kwamba nakutia moyo kama una amini kwa Mungu omba ukiamini mume wako yupo na atatokea,vile unavyokiri ndio utapokea ukijiona wewe ni mzee na mwili utapokea hilo na kulitafsiri kimwili na utakuwa na sura ya kizee,pamoja na u boss usijitenge tatizo la watanzania wengi akishakuwa boss anachagua na watu wa kuwa nao yaani wa class fulani acheni hizo ishi maisha ya kutokuwa na mipaka you will enjoy a lot.Mume wako yupo subiri huku ukiomba kwa Mungu
Watu wanamdanganya eti miaka 33 ni midogo midogo nyooo!! Hao watoto atawazaa na kuwalea lini......wengine eti wanasema kuna watu wamewaona wameolewa wakiwa na 40's ni % ya wanawake wanaolewa na umri huo pia wanatakiwa wajue kuzaa mtoto kuanzia miaka hiyo ya 40 uwezekano wa kuzaa watoto wenye matatizo ya akili ni mkubwaUsimuongopee mtoto kuzaliwa hata kumaliza elimu ya chuo huwa na wastani wa miaka 23-25 yeye atakuwa na mingapi ili aweze kumsaidia mtoto bila shida na akiwa na nguvu uzazi mzuri unatakiwa uwe na miaka 26-28 mtoto mnakwenda sawa