Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Weka na kapichq jamani. Lkn kama kweli we boss si kamata vijana wako wa kazini mwambie interview yako iliyobaki ni hii tumia sentensi fupi NIOE au asshole language fupi Marry me. Weka mrejesho kwa ushauri huu halafu lipia
 
Sio cheo bidada kuna shida nje ya cheo. Tafuta rafiki yako mkweli na asiye mnafiki atakwambia mapungufu yako
Hilo ndo neno. Wengi huwa hawaelewi madhaifu yao na kuishia kulalamika.
 
Andika barua ya kuomba kushushwa cheo uolewe kama hilo ndo tatizo. Ila kama ni tabia badilika.
 
Nadhani ushauri huu uzingatie jamaa amekua mkweli amesema ya moyoni kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…