Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Tatizo sio cheo, cheo ni mbaraka tatizo ni shetani, huyo ndo wa kupambana naye kwa damu ya Yesu. Utapata mume
 
Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Hapo ndipo unapopishananao, je unavyowakatalia kuwapa papuchi wee bado bikra? Kama hauna utakua mnafiki kuwanyima!
Kuna wanawake wengine kuwapenda kweli mpaka akuvulie chupi.

Wengine wanahisi hutaki mechi za majaribio labda una udhaifu flani mahali au uchi hauna mvuto
 
Kwahiyo kumbe huwa unachukuliwa.
viapo vishavunjwa na vinavyunjwa ili mradi uhaidi ndoa unavunjiwa ahadi yake. Shida naona hajui kung'ang'ania mtu sababu ya kazi yake anakuona wa nini?

Ofisa sijui meneja ng'ang'ana ndio ndoa za siku hizi. Usisubiri nature sijui roho iruhusu utasubiri sana.
 
Njoo kwangu ben 10 nipo hapa kwaajili yako sina kazi bado nazungushq CV. Karibu sana
 
Bila shaka umesomea ushauri nasaha.
Kuna mabosi wanawake wameshawahi kuongoza tasisi nakofanyia kazi, wana mambo ya ajabu sana, yaan ni wakorofi kweli sijawahi kuona!!! walibahatika kuolewa ila masikini wanazeeka na ubinti wao.
 
Wanasema ukitaka wanaume nenda kule wako usisubiri wakufuate, wewe ni ofisini, kwenye gari, kwenye vikao visivyoisha na nyumbani. Hapo lazima utapishana nao wanaume.
 
Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Italiwa na nyenyere, mara nyingi mademu wagawaji wanaolewa kwasababu wanaongea na wanaume, kama una msimamo mkali wanakaa pembeni maana wanaume nao hawataki shida, kumfukuzia msichana mwaka mzima bilabila ilishapitwa na wakati.
 
Acha kutembelea gari yako panda daradara hama usuani Acha nymba yako njoo upange chumba kimoja huku kwetu uswazi ukivuka wiki hujarukiwa utakuwa na gundu
Sasa ndio arukiwe na fundi viatu au mekanika hao?
 
Nini bosi bana, Watu wana date Wajeda na wanawatuliza tuli kama maji mtungini.
 
Hahahaaaa
 
Kasimame mbele ya kioo cha kabati lako la nguo utamuoina mbaya wako, anaekukwamisha usifikie unachokiwaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…