Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Suala la kuolewa ni wewe na sio ubosi maana kama ni kuogopwa wanajeshi wanawake wasigekuwa wanaolewa, huenda unaleta ubos hadi kwenye mapz
 
Sexless,

Umeongea vizuri mama ni dm tuyajenge hizi nyakati saiz inatakiwa ushike chako mapema welcome to me mm ndie mume ulie msubilia miaka yote ...shituka ebujiulize una mpaka uboss oficen kwenu huko dhahili kabisa wanaume watakua wanakuogopa kukupiga saund kama mm ninavyo ogopa kumpiga saund mwanamke ambae ana drive mindinga ya bei mbaya.
 
Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
BASI SAWA...ILA HAPO UJUE TU NI MINDSET...MARA NYINGI UKIWA BOSI UNAONEKANA UTASUMBUA KWA KULETA JEURI UJUAJI NA KUTOTII MUME...MOSTLY YANATOKEA HAYA..SO HALI IBADILIKE KAMA IPO.....
 
Huyo atakaye tokea yuko tayari kuzaa na wewe, kwa nini asikuoe
 
Sexless,
Tunza agano bi mdada wanaume tupo tu alfu tuko bize na pesa kuliko wanawake ila nina jamaaa yangu anapenda umario hana shida huyo hata kufua anafua tu ili mradi pesa ipo na papuchi sio ya ratiba.
 
Sexless,

Huna haja ya kufanya hivyo,miaka 33 bado una nafasi kabisa nani kakuambia wazee wako 30s,acha mawazo hayo kuna watu wanaolewa na 45 wewe bado kabisaa wala sio kwamba nakutia moyo kama una amini kwa Mungu omba ukiamini mume wako yupo na atatokea,vile unavyokiri ndio utapokea ukijiona wewe ni mzee na mwili utapokea hilo na kulitafsiri kimwili na utakuwa na sura ya kizee,pamoja na u boss usijitenge tatizo la watanzania wengi akishakuwa boss anachagua na watu wa kuwa nao yaani wa class fulani acheni hizo ishi maisha ya kutokuwa na mipaka you will enjoy a lot. Mume wako yupo subiri huku ukiomba kwa Mungu.
 
[HASHTAG]#urumrawi[/HASHTAG] ,wejamaa ninoma ujue kwenye Uzi wake mmoja wa uyu jamaa ulishawahi kuandika kuwa, "huyu jamaa ni dume ila sometime anajifanyaga ni KE" daa apa ndo nimeamini kauli yako mzee
 
Nyodo sina, ila huwa nina msimamo wa kutogawa k kabla ya ndoa
Una maanisha ww ni bikra?
Na kama sio bikra aliyekutoa bikra ndo akuoe basi kama vipi. Nyodo zenyewe ndo hizo sasa kama ulikuwa hujui.
 
Back
Top Bottom