Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Ubosi unanifanya nisiolewe, umri unazidi kusonga

Kuna dada nilisoma nae yupo temeke Hosp ni midwives (mkunga) hana mtoto kila siku analia hajawah pata ata mimba akatoa au kuolewa analiaga sana anapokuja mtu w kujifungua chini ya miaka 25. Yeye ana miaka 35 sasa
Mlete Huyo dawa n in ninayo atakushukuru maisha yake yote
 
Kama una pesa na hawataki kukuoa si used aoe wewe jamaniiiii, were alikwambia nani ukiwa na pesa hakuna linaloshindikakana hapa chini ya jua, au vihela vyenyewe vya kubadilishia mboga.
 
Ke. Lkn sichukuliwi na wahovyo hovyo.

Hapo ndipo penye Taabu! Wa ovyo wanamapembe mpaka yanainekana kwa Juu au ??
Hujajua unataka mwanaume wa aina na gani?
Na hilo ni Ugonjwa mwingine kwenye eneo hilo la Mahusiano.
Kipi cha kipaumbele kwenye mahusiano yako. Issue ya Sura,Tabia,Pesa,Elimu au kwenye 6x6 (Bamia vs Mtarimbo a.k.a Ukuni??.
Ukiweka chini dondoo za vitu hivyo hapo juu wanaume wako kibao.
 
NILIMSIKILIZA MWANASAIKOLOJIA MMOJA ALISEMA MWANAUME UKIMUOA MWANAMKE ALIEKUZIDI KIPATO UJUE UTAISHI KWA SHIDA SANA YANI MWANAMKE ATAKUFANYA MNYONGE KUANZIA KISAIKOLOJIA UTAJIHISI MNYONGE HADI KWENYE MAISHA YA KAWAIDA SASA KAMA WANAUME WENGI WENYE VIPATO VIDOGO TULISHASIKIA VITU KAMA HIVYO LAZIMA TUMUOGOPE MWANAMKE ALIYETUZIDI KIPATO
 
Nifuate pm tuyajenge ila kiburi cha uboss na kujisikia uviache kabla hatujaoana
 
njoo nikuoe mke wa pili mkuu, ila sitaki uwe na complications, kazi ni kazi na ndoa ni ndoa
 
Sexless,

Ni rahisi mno mno mno
Utafanikiwa ndani ya miezi 3 tu.
Fanya namna hii

1. Hama unako kaa ukapange chumba kimoja, Kapange mbali wasikokujua Usitumie gari kama unalo, chukua chumba chako kimoja, paweke safi , masofa pawe kawaida yani,
Anza kwenda kazini kwa daladala, ( siyo bajaji wala boda)
Kuwa mtu mwingine, ukipewa lift usikatae, vaa vizuri sana
Watakuja kama utitiri, usiwambie kazi yako wala unakofanya kazi
Usisahau kuleta mrejesho
 
1. Unapotoka nje ya mazingira ya kazi usiendelee na ubosi wako

2. Jichanganye kwenye makundi mema baada ya kutoka kazini kama wewe ni mkristo nenda kwenye vyama vya kitume au kwaya.

3.Jitahidi kuwa myenyekevu kwa watu waliokuzidi umri na tabia yako isomeke hadharani kuwa ni njema

4.Usiishi maisha ya juu sana kama kuendesha gari masaa yote kwani neema za wanaume unazikosa saa nyingine unapotembea kwa miguu ndio waoaji wanakuona na kuanza kukufukuzia

5. Usipende kuvaa vitu vya garama saana kwani kuna wanaume wema wataona wakikuoa utawaingiza hasara hata kama ana kipato

6. Epuka sana kuwa wa bandia kama kubadilisha ngozi na kuvaa madude mengi artificial kwani kuna wanaume wengi hutathmini mwanamke aliyebadilisha ngozi kuwa hata tabia yake anaweza kuibadilisha kama kinyonga jinsi apendavyo na ajiamini na uzuri aliopewa na Mungu

7.Usipende kukosoa wanaume hadharani kwani kwa yule unayemkosoa kuna wengine wanakufuatilia kwa siri bila kukuambia na ukiona kitu kidogo tuu gubu la kufa mtu basi na wao wanajitoa kiulaini

8. Epuka sana kufikiria kuolewa na msomi mwenzako ama tajiri bali yeyote utakayempenda na anayekupnda kwa dhati na mwenye tabia njema anaweza kukufaa na mkaishi maisha mazuri na ya amani kuliko msomi mwenzako ambaye kwanza kumpata inakuwa kazi kwani baadhi huoa ambao hawajasoma kwa sababu hushuhudia live vituko vinavyofanyika vyuoni

9. kubali utumwa na kamwe usishawishike na wanaharakati wanataka kuwa sawa na wanaume

10. Kumbuka kuwa katika muungano wowote kila mtu lazima apoteze sehemu ya uhuruwake na kupokea mapungufu ya mwenzake na kuyavumilia. Hivyo usitarajie mtu ambaye yupo pafect kama malaika ndio akuoe utakosa wale ambao uliowakataa kwa kusema sii kiwango chako masi kama bado wapo warudie kwa unjenyekevu laa sivyo "imbombo ngafu""
Ushauri mzuri sana huu.
 
Cheo sio tatizo, tatizo huenda ikawa,
  1. Dharau
  2. Kujisikia
  3. Ubaguzi
  4. Selective sana
  5. Sura baya
Ila no.5 sio saana hiyo no 1-4 ndio tatizo kubwa.
 
Sexless,

Kabla ya cheo ilikuwaje? Halafu hauna ndoa inakuwaje uzae nje ya ndoa? Au ndio kuzaa kabla ya kufunga ndoa?
 
Back
Top Bottom