KERO Ubovu na udhaifu wa mfumo wa Ajira Portal
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

allyiddy

New Member
Joined
Aug 6, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Habari, mfumo wa ajira portal umekua kero kwa watumiaji kwani endapo kuna kosa basi mfumo hauna optiona ya kufuta kosa hilo (hasa kipengele cha accademic qualification) pia ukiwapigia simu hawapokei unapata ujembe the caller is busy ama wanakuwekea vijinyimbo vya hovyo huku ukipoteza salio lako.

Vijana wengi wanashindwa kuomba nafasi za ajira kwa kuto kukidhi vigezo kutokana na makosa yaliofanyika. Mfumo huu ni duni na tatizo na wizara hiyo haiwajibiki kusikiliza malalamiko ya wananchi. Hpa tumewatafuta ni wiki sasa, simu wala email hazijibiwi hata kama ni ubize chances za kua busy week nzima ni ndogo sana.

Tunaomba msaada.
 
IMG_3499.jpeg
IMG_3500.jpeg

Mfumo wa Ajira portal upo kama ushahidi huku mamilioni ya graduate wakiteseka kupata msaada bila mafanikio !! Zile namba walizoweka hakuna hata moja inafanya kazi. Na hakuna customer care wala msaada kwa wanaokwama kuweka taarifa zao. Malalamiko ni mengi sana mtaani and NO ONE CARES , BUSINESS AS USUAL
 
Mfumo wa Ajira portal upo kama ushahidi huku mamilioni ya graduate wakiteseka kupata msaada bila mafanikio!! Zile namba walizoweka hakuna hata moja inafanya kazi. Na hakuna customer care wala msaada kwa wanaokwama kuweka taarifa zao.

Malalamiko ni mengi sana mtaani and NO ONE CARES, BUSINESS AS USUAL.
 
Tulia uandike vizur chief. Andika changamoto ulizokutana nazo. Mfumo hauna shida watu wanatumia mfumo huo tangu awali.
 
Mfumo wa Ajira portal upo kama ushahidi huku mamilioni ya graduate wakiteseka kupata msaada bila mafanikio!! Zile namba walizoweka hakuna hata moja inafanya kazi. Na hakuna customer care wala msaada kwa wanaokwama kuweka taarifa zao.

Malalamiko ni mengi sana mtaani and NO ONE CARES, BUSINESS AS USUAL.
Mfumo upo simple sana kuutumia, Tuliza kichwa pata muda wa kutosha.

Graduate huwezi shindwa kuutumia mfumo.
 
View attachment 3062974View attachment 3062975
Mfumo wa Ajira portal upo kama ushahidi huku mamilioni ya graduate wakiteseka kupata msaada bila mafanikio !! Zile namba walizoweka hakuna hata moja inafanya kazi. Na hakuna customer care wala msaada kwa wanaokwama kuweka taarifa zao. Malalamiko ni mengi sana mtaani and NO ONE CARES , BUSINESS AS USUAL
Mkuuu wanapokea mbona na email na wajibu but NB usijieleze sana nenda kwenye shida yako. Hata hivyo sijui wanaupungufu wa wafanya kazi sijui haiwezekan unapiga simu inaita nusu saa seriously?? Kama kuna upungufu wa watumishi kwenye idara yao waongeze, hizo ajira za watanzania wote na mashart wapunguze buana
 
Hawa jamaa mfumo wao hauko sawa kivile, lakini IT wao wako active muda wote ku reply all query ,majuzi nilikuwa na ishu ya mfumo wangu wa vyeti ilikuwa ijumaa but jumapili waka solve fasta, wao wanajua mahala penye udhaifu wana solve soon
 
kama kichwa cha habari tajwa hapo juu customer care ,ICT wa Ajira portal nikidonda ndugu

Nina changamoto ya kufuta academic qualifications nilizojaza mwanzo kimakosa ili nibadilishe niweke zingine kwa usahihi... Kwa mliokuwa na changamoto katika mfumo wa ajira portal mlisaidiwa je? Bila kufika makao makuu, maana sijaona taasisi kama hii ambayo unapiga simu masaa 24 ndani mwezi mzima simu haipokelewi, nimetuma ujumbe kwa njia ya email ict@ajira.go.tz na kupitia email ya katibu@ajira.go.tz lakini wapi. Ndugu zangu wajuuzi naombeni mnisaidie au kama mtu ana ndugu yake yupo kwenye hiyo taasisi anisaidie namba zake PM anitatulie tatizo langu ili nlipate na mimi kuapply hizi ajira zilizotangazwa hivi karibuni na deadline yake ni tarehe 16 mwezi huu natanguliza shukurani
 
kama kichwa cha habari tajwa hapo juu customer care ,ICT wa Ajira portal nikidonda ndugu

Nina changamoto ya kufuta academic qualifications nilizojaza mwanzo kimakosa ili nibadilishe niweke zingine kwa usahihi... Kwa mliokuwa na changamoto katika mfumo wa ajira portal mlisaidiwa je? Bila kufika makao makuu, maana sijaona taasisi kama hii ambayo unapiga simu masaa 24 ndani mwezi mzima simu haipokelewi, nimetuma ujumbe kwa njia ya email ict@ajira.go.tz na kupitia email ya katibu@ajira.go.tz lakini wapi. Ndugu zangu wajuuzi naombeni mnisaidie au kama mtu ana ndugu yake yupo kwenye hiyo taasisi anisaidie namba zake PM anitatulie tatizo langu ili nlipate na mimi kuapply hizi ajira zilizotangazwa hivi karibuni na deadline yake ni tarehe 16 mwezi huu natanguliza shukurani
Kama vile wana nata
 
kama kichwa cha habari tajwa hapo juu customer care ,ICT wa Ajira portal nikidonda ndugu

Nina changamoto ya kufuta academic qualifications nilizojaza mwanzo kimakosa ili nibadilishe niweke zingine kwa usahihi... Kwa mliokuwa na changamoto katika mfumo wa ajira portal mlisaidiwa je? Bila kufika makao makuu, maana sijaona taasisi kama hii ambayo unapiga simu masaa 24 ndani mwezi mzima simu haipokelewi, nimetuma ujumbe kwa njia ya email ict@ajira.go.tz na kupitia email ya katibu@ajira.go.tz lakini wapi. Ndugu zangu wajuuzi naombeni mnisaidie au kama mtu ana ndugu yake yupo kwenye hiyo taasisi anisaidie namba zake PM anitatulie tatizo langu ili nlipate na mimi kuapply hizi ajira zilizotangazwa hivi karibuni na deadline yake ni tarehe 16 mwezi huu natanguliza shukurani
Wacheki kwenye akaunti yao instagram
 
Ni maafisa utumishi pekee ndiyo wamepewa uwezo wa kufanya mabadiliko kwenye profile yako...
 
Kwenye kipengele cha Academic qualification hakuna option ya kudelete hiyo ni changamoto wanapaswa wakiweke hicho kipengele
 
OK ulivyoviweka kimakosa n vyeti vya nani?
Nilikosea kujaza kozi husika diploma FTC ya kile nilichokisomea badala yake nikajaza kozi ya posta graduate diploma, Nimejitadi kuedit bado nimezunguka stationary wanashindwa naambiwa wenye uwezo kushughulikia shida yako ni maafisa utumishi wenyewe wadelete academic qualifications zote uanze kujaza upya
 
Back
Top Bottom