KERO Ubovu na udhaifu wa mfumo wa Ajira Portal
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nilikosea kujaza kozi husika diploma FTC ya kile nilichokisomea badala yake nikajaza kozi ya posta graduate diploma, Nimejitadi kuedit bado nimezunguka stationary wanashindwa naambiwa wenye uwezo kushughulikia shida yako ni maafisa utumishi wenyewe wadelete academic qualifications zote uanze kujaza upya
Acha uongo ndugu yangu, mbona kwangu naweza kubadili.
Em ntumie details zako nikubadilishie
 
Acha uongo ndugu yangu, mbona kwangu naweza kubadili.
Em ntumie details zako nikubadilishie
Mh uenda ujamwelewa kudelete academic qualifications user auna hiyo access ni Kwa system administrator TU ndio wanaweza kufuta hapo.
Sababu ni kuondoa udanganyifu mtu kujiombea kazi za academic qualifications zote yaan MTU Leo anaomba kazi za form4 kesho zikitoka za watu wa degree anaweka chet Cha degree zikitoka za form 6 atafuta degree aombe za six.
ndio mana hapo wametoa authority Kwa watu wao special TU na wao hawafuti tu kisa umesema no wanaangaliwa umeweka lamda qualifications za degree na kweli una degree vyeti umeupload wameona ni vya degree alafu useme unaomba kufuta ety umeweka kimakosa unataka uweke diploma kufuta hapo ni mtiti.
ajiri waganga wapige nyanga kweli kweli upigwe nyungu na chale za kutosha ndio ifutwe hiyo
 
Hawa jamaa mfumo wao hauko sawa kivile, lakini IT wao wako active muda wote ku reply all query ,majuzi nilikuwa na ishu ya mfumo wangu wa vyeti ilikuwa ijumaa but jumapili waka solve fasta, wao wanajua mahala penye udhaifu wana solve soon
Mkuu nisaidie email uliyotumia kuwasiliana nao
 
Hello Wanajamii Forum,
Katika pitapita zangu za kutafuta kazi hapa na pale nimekutana na kazi zilizotangazwa NIC, mojawapo ni Kazi ya Senior Marketing Officer II Position, inayomtaka mtu awe na bachelor kama bCom , Business admintration and so on, + COP Kama Added adv.
Sasa mimi vyote hivyo ninavyo na nilikuwa na deal na Insurance products zote kwenye bank moja hapa Mwanza.
Kibaya zaidi ni kwamba najaribu kuomba hii kazi lakini systerm ya Ajira Portal inanimbia siqualify kwa hii kazi, sasa najiuliza why si qualify wakati ninahiyo Bachelor, COP , nimefanya Marketing for ten years (Sasa am 37yrs), na my last title was Senior Business development officer ni full marketing hii, pia profile ya Ajira portal ni 95%- nilishaendanga kwenye interview ya TRA (japo sikupata)
sasa nipo hapa nawaza je hizi ajira kweli ni za mahitaji or za kisiasa.
na je hii website ni kweli inavigezo vyote vya kazi or ilimladi tu

hebu nisaidieni wadau - hii kazi nimeipenda hasa
 
Hello Wanajamii Forum,
Katika pitapita zangu za kutafuta kazi hapa na pale nimekutana na kazi zilizotangazwa NIC, mojawapo ni Kazi ya Senior Marketing Officer II Position, inayomtaka mtu awe na bachelor kama bCom , Business admintration and so on, + COP Kama Added adv.
Sasa mimi vyote hivyo ninavyo na nilikuwa na deal na Insurance products zote kwenye bank moja hapa Mwanza.
Kibaya zaidi ni kwamba najaribu kuomba hii kazi lakini systerm ya Ajira Portal inanimbia siqualify kwa hii kazi, sasa najiuliza why si qualify wakati ninahiyo Bachelor, COP , nimefanya Marketing for ten years (Sasa am 37yrs), na my last title was Senior Business development officer ni full marketing hii, pia profile ya Ajira portal ni 95%- nilishaendanga kwenye interview ya TRA (japo sikupata)
sasa nipo hapa nawaza je hizi ajira kweli ni za mahitaji or za kisiasa.
na je hii website ni kweli inavigezo vyote vya kazi or ilimladi tu

hebu nisaidieni wadau - hii kazi nimeipenda hasa
Ngoja waje wajuuzi watakusaidia
 
Back
Top Bottom