Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,107
- 1,012
Huko bado hajafikia ya majohe viwege yaani utafieiki sio dar km 25tu kutoka katikati ya jiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kingugi😁😁😁Afu we upo hapo Nzasa unajidai eeh
Hii ni kweli abiria wangu wa bolt walilipa afu 18 badala ya 10kHuku Kinyelezi tunapata tabu sana. Hapa Majumba Sita Jucntion njia imefungwa yapata miaka 2 hatuoni dalili yoyote ya kufunguliwa. Na hawa Yapi Markez hawaonekani site. Yani ni mateso mtindo mmoja. Ili ufike Nyerere road inabidi uzunguke Gongo la Mboto. Ni shida sana.
Huko si mnajikuta CUF ipo damuni kazi mnayo 😁😁😁
Hmmmm! Nlikua juzi huko kumwona mzee wangu mstaafu Jpili anabadili channel tu sebuleni dah.Nipo kingugi😁😁😁
Maeneo ya kingugi shuleHmmmm! Nlikua juzi huko kumwona mzee wangu mstaafu Jpili anabadili channel tu sebuleni dah.
Upo wapi, kwa Simba?
Itabidi tufanye hookup. Barabara inakera, kwanini ile zege ya contena isiunganishwe pale mpaka msikitini kwa Dumba?Maeneo ya kingugi shule
Kule kwanza wenyeji waache uswahili na ushirikina😁😁Itabidi tufanye hookup. Barabara inakera, kwanini ile zege ya contena isiunganishwe pale mpaka msikitini kwa Dumba?
Aisee....
Dah! Wanaroga sana kumbe?Kule kwanza wenyeji waache uswahili na ushirikina😁😁
Mzee wa kula kimasihara.Kariakoo na posta kumejaa mashimooo..masakii ndo usisemee sasa wew wa mbagalaa utuliee