ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wacha wajinga muendelee kuliwaGari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?