Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Kama kawe ilitakiwa barabara ipanuliwe mapema.wasiache.waswahili wajenge magorofa barabarani akina muyama na wengineo.
Kawe ni sehemu kubwa sana kwa kupokea abiria inahitaji barabara pana.zaidi ya.iliyopo na wajenge.stendi haswa pale posta sababu ya.kuboost fremu.za lugalo
Kawe ni sehemu kubwa sana kwa kupokea abiria inahitaji barabara pana.zaidi ya.iliyopo na wajenge.stendi haswa pale posta sababu ya.kuboost fremu.za lugalo