ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wacha wajinga muendelee kuliwaGari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?
Gari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?
Wanaenda kununua maji ya upako.Kunann kwa mwamposa?
Wajinga wameamua kujikisanya kwa makundi yao kulishwa matango pori,unailaumu serikaliGari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?
Wajinga wameamua kujikisanya kwa makundi yao kulishwa matango pori,unailaumu serikali
Serekali haiwezi kumzuia mtu kama mwambosa.Tatizo zaidi ni serikali inabariki na kuwezesha brainwashing ya watu wake. This is very unfortunate.
Mbona Mwamposa hana dhehebu ana kampuni tu,na mtu yoyote anaweza kuwa mteja wake.Mkuu usitake wagalatia waje kutukana humu,maana huyo Mwamposa ni mungu wao
Serikali ilisharogwa na Mwamposa, hawawezi kusema lolote.Gari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?
Uko sahihi kabisa. Kwa lile janga la Moshi miaka kadhaa iliyopita,alitakiwa awe gerezani kwa kesi ya mauaji.Serikali ilisharogwa na Mwamposa, hawawezi kusema lolote.
Kumbe umeshajuwa nina maana gani, hii serikali ni hovyo kabisa. Naona kuna wajeda mlangoni wananigongea mlango usiku huu, ngoja nipande darini wasiniue kwa kusema ukweli.Uko sahihi kabisa. Kwa lile janga la Moshi miaka kadhaa iliyopita,alitakiwa awe gerezani kwa kesi ya mauaji.
Ss hapo serikali inahisikaješ¤£Gari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?
Weee Mungu sio mwanadamu kijanaMkuu usitake wagalatia waje kutukana humu,maana huyo Mwamposa ni mungu wao
Upako wa nn ss pale mkuu?Mwamposa kakaa kimya watu wameangukiwa na Ghorofa kariakoo. Nilitegemea pale ndo angeonyesha upako wake. Siyo leo anakuja kuwafanyia uusanii wadanganyika.
HahahaGari zimehamisha route zinaenda kwa Mwamposa
Njiani kuna foleni kubwa
Gari za kawaida kubeba watu ktk route ya Bunju, tegeta, kunduchi hakuna. Wananchi wanateseka
Hivi kwa nini serikali inaruhusu tukio moja kudisrupt life za watu?