Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Sijaona point hapa. Kwenye biashara ni kitu cha kawaida, na ndio mana kuna mtaa unaweza kupita ukakuta maduka hata kumi ya bidhaa za jumla, hata wauza maandazi mitaani wanaigana tu sembuse Mo na Bakhresa!
 
WEWE SIO MKWELI HIZI JUICE ZA UKWAJU NI NZURI KWELI NA ZINAPENDWA KWELI,MPAKA STOCK KIWANDANI ILIKWISHA KABISA MAJUZI.
:::TUACHE UONGO.
 
Nafikiri timu ya bakhressa iko vizuri sana kwa utafiti wa bidhaa na mpaka quality zao
Kila kitu kinapoingia sokoni lazima kiwe kimefanyiwa majaribio hata kwa watoto pia ili kujua wameipenda au la
Na ni gharama kubwa inatumika kabla ya bidhaa kuingia sokoni
Sasa hawa wengine business strategy zao ziko chini sana kwa kuogopa kuajiri wataalamu wa biashara
 
Poor strategy mo ajiri Watu wabunifu azam ukwaju inatishaaaaaa Angalia hata maeenerg ya mo wanywa mopombe ya ajabu ndo wanatumia tatizo Hana wabunifu wafanyakazi wenyewe kitonga Kama mashabiki WA gonga wazi
 
Kwaniii uzinzi na WEWE usilicopy kuna aliefundishwa mapenzi

Embu tulieni na NYIE wafanyakazi WA.....mmetumwaaa

Pambanenii muachane na kuajiriwa allah

#Basiasi left
kama huo uzinzi nilifanya na Ma......yako sawa!!
 
Nasikitika sijawahi na sitegemei kutumia hizo bidhaa, japo namtakia mafanikio katika kusaka pesa
 
Hivi mbona kama Mo anamuiga sana Bakharesa ktk Bidhaa au wote n wamoja!???
 
Wewe huna akili. Hakuna mtu anaweza fanya huo ujinga. Viwanda vyote vya soda na vinywaji Tz hununua flavours nchi tofauti na kuja tengeneza syrup hapa Tz na kupack.
Muwe hata mnasoma au kutembelea youtube

Ndio maana sijawahi kukiona kiwanda cha MO
 
mo hatumii jf
 
Hyo chupa ya mo ukwaju ina ujazo wa lita ngap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…