Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Ubovu wa product ya Mo ukwaju

Huyu mtu sijawahi kuona ubunifu wake hata bidhaa 1. Kila kitu Azam anachofanya yeye anakuja nyuma yake anatofautisha kidogo tu ujazo au bei. Babake alijitahidi sana lakini huyu kijana naona anazingua sokoni tu.

Ameiga Ukwaju wa Azam lakini yeye ya kwake sio juisi ni ladha ya ukwaju anauza sh 300 (maalum kwa watoto) unaambiwa hata watoto wameiona hii soda ni mbaya. Sasa sijui atamuuzia nani?

Kwanini asibuni bidhaa zake mwenyewe? Atengezene hata juisi ya ubuyu basi tujue ni yake! Yupo Simba lakini naona anachuma hela tu na kujitangazia biashara zake basi lakini hana faida yeyote.
 
kuna utu tududu utu
1573413123925.png

Aisee kama uchawi sijui ndo ndo tuna limbwata, kila tukienda madukani tunaambiwa tumeisha
 
MAJUZI KATI SAFARI BEER WALIBADILISHA VILE VICHATA WAKARUDISHA VIPYA NA KUVIWEKEA KARANGI FULANI LEOHII ZINAONGOZWA KUISHA FASTA

HII NDIO TANZANIA BHANA UKIULIZA WANAKWAMBIA LADHA YA SASAHIVI KIBOKO KUMBE KANEMBO TU
 
Mie zote siziekewi,labda ya mama jirano hapa anazofunga mwenyewe kutoka miti ya ukwaju ya shambani kwake.
 
Back
Top Bottom