Tetesi: Ubunge 2020: Wagombea CCM lazima wawe na makazi ya kudumu majimboni!

Tetesi: Ubunge 2020: Wagombea CCM lazima wawe na makazi ya kudumu majimboni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeelezwa na kada mmoja maarufu ambaye pia ni mjumbe wa vikao mbalimbali vya CCM ya kwamba, katika uchaguzi mkuu ujao wagombea wote wa chama chao ni lazima wawe ni wakazi wenye makazi ya kudumu katika majimbo wanayogombea.

Amedai ile biashara ya wakazi wa Dar na miji mingine kutimba majimboni nyakati za uchaguzi na kununua uongozi imefikia tamati. Tusubiri muda utaongea!

Mytake; Ingependeza kama utaratibu huu ungetungiwa sheria ili ivibane vyama vyote vya siasa!
 
Nimeelezwa na kada mmoja maarufu ambaye pia ni mjumbe wa vikao mbalimbali vya CCM ya kwamba, katika uchaguzi mkuu ujao wagombea wote wa chama chao ni lazima wawe ni wakazi wenye makazi ya kudumu katika majimbo wanayogombea. Amedai ile biashara ya wakazi wa Dar na miji mingine kutimba majimboni nyakati za uchaguzi na kununua uongozi imefikia tamati. Tusubiri muda utaongea!!Mytake; Ingependeza kama utaratibu huu ungetungiwa sheria ili ivibane vyama vyote vya siasa!
Kuna watu wanawalenga
 
ITAKUWA NI KINYUME NA KATIBA YA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA, SHERIA ZA UCHAGUZI NA SHERIA YA VYAMA VYA SIASA.

PILI SUALA HILI LILIPENDEKEZWA KATIKA KATIBA MPYA LIKAPGWA MIZENGWE NA CCM
 
Kama huna nyumba na makazi kwenyu imekula kwako. Wa mitama ajiandae kama sio mmakuwa kwisha
 
hahahahahahha mbinu za sisiemu bwana kama ni hivyo walau atakaye gombea nafasi ya Rais awe na makazi ya kudumu kila mkoa maana yeye kote anahitaji kura
Mfano mgombea wa Urais inabidi awe mzaliwa wa Dodoma yalipo makao makuu ya Nchi na ccm kwa maana ingine ukabila huenda ukarejea kwa kasi kubwa
 
Mkuu Nape ana makazi Mtama na kwakuwa sasa yeye siyo waziri nadhani makazi yale yatakuwa ya kudumu!

Kwa ufahamisho wako; Huyo hatakaa apate tena nafasi ya kugombea jimbo hilo. Tumesha muandaa mama yetu pendwa kuichukua hiyo nafasi kwani imempalia huyo Nape wako.
 
Nimeelezwa na kada mmoja maarufu ambaye pia ni mjumbe wa vikao mbalimbali vya CCM ya kwamba, katika uchaguzi mkuu ujao wagombea wote wa chama chao ni lazima wawe ni wakazi wenye makazi ya kudumu katika majimbo wanayogombea. Amedai ile biashara ya wakazi wa Dar na miji mingine kutimba majimboni nyakati za uchaguzi na kununua uongozi imefikia tamati. Tusubiri muda utaongea!!Mytake; Ingependeza kama utaratibu huu ungetungiwa sheria ili ivibane vyama vyote vya siasa!
yule mbuzi atagombea wapi ?
 
Back
Top Bottom