yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Professor au takataka???Prof. hawezi kosea kujaza fomu. Bonny anaweweseka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Professor au takataka???Prof. hawezi kosea kujaza fomu. Bonny anaweweseka!
Khaaaa🤣🤣🤣🤣🙌Prof wa sociology. Mwanaume kusoma HKL napo kipaji.
Duh..siku zinavyozidi kuyoyoma naona akili zako zinapeperuka tu bwashee.Kwani Tundu Lisu alisoma nini kule A level?
Hahhahahahaha naona chadema wanakuja na mbinu ya kupitia madirishani kama unapendwa why usiache box la kura lifanye kazi yake mnakuja na vipingamizi vya kipuuzi haya ngoja tumsubiri huyu mlemavu mwingine tuone anamuwekea pingamizi nani.
Tema mate chini hujafa hujaumbikaHahhahahahaha naona chadema wanakuja na mbinu ya kupitia madirishani kama unapendwa why usiache box la kura lifanye kazi yake mnakuja na vipingamizi vya kipuuzi haya ngoja tumsubiri huyu mlemavu mwingine tuone anamuwekea pingamizi nani.
Kama ni hivyo kwanini mpaka sasa CCM ndio wanaongoza kwa Wagombea wao kupita bila kupingwa?Hahhahahahaha naona chadema wanakuja na mbinu ya kupitia madirishani kama unapendwa why usiache box la kura lifanye kazi yake mnakuja na vipingamizi vya kipuuzi haya ngoja tumsubiri huyu mlemavu mwingine tuone anamuwekea pingamizi nani.
mimi sijasoma ndiyomaana sijaokotwa jalalani.Ila nawe kama ulisoma Preposition na adverb anza masomo upya, akili izoee kuhangaika.
hoja gani labda kwa mfano?Kama huna hoja kaa tulia!
Inawezekana unaishi Burundi hivi ile mikata ilofungwa Kati ya serikali na makampuni ya madini ulokuwa unaipa tz 3% mrahaba unadhani maprof wa ccm hawakuwemo? Ngeleja akiwa waziri wa madini alifanya juhudi ikafika 4% alipigiwa makofi bungeni na maprof wakiwemo hivi kweli bado unawaamini hawa watu?Wapinzani wanatapa tapa tu yan Prof akosee kujaza fomu!. Mmh kwanza huyu si alimtukan prof kule twitter
Bora wewe! Hujajua mema na mabaya ya dunia.mimi sijasoma ndiyomaana sijaokotwa jalalani.
Mbona tuna ma-gynaecologists wa kiume au ni dhambi!Prof wa sociology. Mwanaume kusoma HKL napo kipaji.
si ajabu, tumeona mahali mtu alikuwa diwani kwa miaka 10 lakini akaambiwa ameshindwa kujaza fomu! Yaani uzoefu wake wa vipindi viwili haukumsaidia kujaza fomu!Wapinzani wanatapa tapa tu yan Prof akosee kujaza fomu!. Mmh kwanza huyu si alimtukan prof kule twitter
Ilboru original siyo hii ya sasaBora hata Tundu alisoma Ilboru.
Awe makini, kibao kinaweza kumgeukia kwa kuwasilisha ushahidi feki. Kama baadhi ya wagombea wa CDM walitembea na photocopy mfukoni wakati original forms zilishatangulia NEC hata Boniface anaweza kuwa kauvaa mkenge!Safi Sana Boniface ni mwendo wa JINO kwa JINO mpaka kieleweke. Ikiwezekana ipelekwe hadi mahakama ya Rufaa kumtengua Kitila kama kakosea na NEC wakimbeba.
Weka kitabu alichowahi kukiandika Hapa akiwa Prof.maprof wa kitanzania Ni wale wale.Hakuna kitu kichwani na akiingia CCM hapo kichwa inasoma zero. Hiyo fomu kakosea tumeiona na kuishika.Prof. hawezi kosea kujaza fomu. Bonny anaweweseka!
Hahhahahahaha naona chadema wanakuja na mbinu ya kupitia madirishani kama unapendwa why usiache box la kura lifanye kazi yake mnakuja na vipingamizi vya kipuuzi haya ngoja tumsubiri huyu mlemavu mwingine tuone anamuwekea pingamizi nani.
ina maana miaka yote hiyo fomu hazijawahi kuwa na mabadiliko au marekebisho. Unashangaa nini!si ajabu, tumeona mahali mtu alikuwa diwani kwa miaka 10 lakini akaambiwa ameshindwa kujaza fomu! Yaani uzoefu wake wa vipindi viwili haukumsaidia kujaza fomu!
Prof wa sociology. Mwanaume kusoma HKL napo kipaji.
Meko huko hamu hana kbs kapigwa spana moja kubwaHuu mwaka huu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Prof wa sociology. Mwanaume kusoma HKL napo kipaji.