Uchaguzi 2020 Ubunge Kigoma Mjini, Zitto Kabwe vs Diamond Platnumz

Uchaguzi 2020 Ubunge Kigoma Mjini, Zitto Kabwe vs Diamond Platnumz

tindo,
Najua tido unaipenda Sana CHADEMA ila Kama CCM watamuweka DIAMOND PLATNUMZ kigoma basi DIAMOND atashinda mapema Sana kutokana na kukubalika Sana na watu wengi huko kigoma ndo kabisa wanamuona Kama Mungu wao.
 
Atashinda kihalali kabisa.
Diamond ana umaarufu mkubwa Sana Zitto hata robo ajaamfikia tena uko kigoma ndo kabisa wanamuona Kama Mungu wao Kama CCM watamchagua kuwa mgombea wao atashinda kwa kura nyingi Sana.
 
Najua tido unaipenda Sana CHADEMA ila Kama CCM watamuweka DIAMOND PLATNUMZ kigoma basi DIAMOND atashinda mapema Sana kutokana na kukubalika Sana na watu wengi huko kigoma ndo kabisa wanamuona Kama Mungu wao.

Sina tatizo na kushinda kwa Diamondi au mwanaccm yoyote kushinda. Nina tatizo na mazingira ya mshindi anavyopatikana. Nahitaji tume huru ili niwe na uhakika na mshindi. Kama jinsi siku hizi tunavyoangalia mpira huku mfumo wa VAR ukitumika na kudhibitisha ushindi wa haki. Na kama tatizo la hao wananchi ni Zito kupenda zaidi huko Dar, je Diamond ndio atakuwa anaishi Kigoma?
 
Sina tatizo na kushinda kwa Diamondi au mwanaccm yoyote kushinda. Nina tatizo na mazingira ya mshindi anavyopatikana. Nahitaji tume huru ili niwe na uhakika na mshindi. Kama jinsi siku hizi tunavyoangalia mpira huku mfumo wa VAR ukitumika na kudhibitisha ushindi wa haki. Na kama tatizo la hao wananchi ni Zito kupenda zaidi huko Dar, je Diamond ndio atakuwa anaishi Kigoma?
Ingawa siamini Sana hi habari ya mtoa mada Kama ni kweli DIAMOND PLATNUMZ anataka kugombea ubunge kwasababu DIAMOND ana pesa nyingi kuliko huo ubunge ana umaarufu mkubwa kuliko wanasiasa atafute ubunge kwa Nini? Professor Jay na sugu wameingia kwenye ubunge wakiwa hela hawana.
 
Wewe Umedokezewa Sisi tuliliona hilo Tangu anapewa mabehewa ya bure TRH,

Sitak kuamini Ripoti ya CAG, Bajeti ya nchi inaenda kujjadiliwa na watu Kama diamond, harmonize ,sijui shilole nk

Honestly they don't fit there

Yani Kama ni cha kike tumeingia wanangu
 
Ingawa siamini Sana hi habari ya mtoa mada Kama ni kweli DIAMOND PLATNUMZ anataka kugombea ubunge kwasababu DIAMOND ana pesa nyingi kuliko huo ubunge ana umaarufu mkubwa kuliko wanasiasa atafute ubunge kwa Nini? Professor Jay na sugu wameingia kwenye ubunge wakiwa hela hawana.

Mkuu naheshimu maoni yako, akina Abood, Mkono nk ni wabunge, je huyo Diamonds ana hela kuliko wao? Kuna wakati Mo alikuwa mbunge, je utajiri wake wa wakati huo ulikuwa mdogo kuliko huu wa Diamondi hivi sasa? Kumbuka diamonds bado haijawa na hela za ukweli ambazo kwake ubunge ni kitu kidogo, kwani ubunge pia utamuongezea ujiko kwenye huo usanii wake. Kimsingi huyu mleta uzi ameleta hii hadithi ili kufurahisha genge, lakini sio habari ya kweli.
 
Kwamba huyo Diamond baada ya kupata ubunge atahamia Ujiji au Mwandiga?
 
Mkuu kabombe hii tabia ya kuwaona wanao upenda upinzani haswa cdm kuwa ni maadui wenu mmeianza nyinyi wenyewe.

Hakuna mpinzani anaye wachukia wana ccm na kumuona kuwa hana haki ya kuishi hapa. Seriously nyinyi wana ccm mkiwa na siasa za kiungwana sidhani kama kuna mpinzani atafanya siasa za chuki.
Wewe utabaki kuwa ndugu na mtanzania
Tatizo mnavuka mipaka na kukosa uzalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa siamini Sana hi habari ya mtoa mada Kama ni kweli DIAMOND PLATNUMZ anataka kugombea ubunge kwasababu DIAMOND ana pesa nyingi kuliko huo ubunge ana umaarufu mkubwa kuliko wanasiasa atafute ubunge kwa Nini? Professor Jay na sugu wameingia kwenye ubunge wakiwa hela hawana.
Kabisa yaani. Wewe tuna mtazamo sawa. Diamond ni mkubwa kuliko ubunge. Akienda huko naona atapotea tu. Maana kwenye music yake yupo Ontop kabisa kwa sasa.
 
Kwako wewe wapinzani wakikosa kurudi kwenye uchaguzi ndiyo itarudisha thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani?
Watapungua kwa kuwa watz wengi wanaimani na Rais Magu na wanajua hakuna wakumshinda toka upinzani na wabunge itategemea jimbo na jimbo ila tuseme ukweli wapinzani mwaka huu watapata tabu sana. Wakina Mbowe na genge lake wamalizie ruzuku za mwisho mwisho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ishalaaniwa mambo ya ajabu tunayafanya Diamond ndo wa kwenda kututungia sheria kina harmonize sijui shilole Mungu alete tu gharika wazaliwe kizazi kingine sio sisi tena
 
Huyu atapingwa kwa kuwa ni CCM ila angekuwa chadema ingekuwa pouwa tu.

Cc Sugu na prof. Jay wao wako sawa


Sent from my iPhone using JamiiForums
Show 1 tu ya siku 1 ya Diamond unazungumza zaidi ya mil 60 au mil 100. Halafu akae kusubiri mil 12+ kwa mwezi ya mbunge? Mijadala mingine bwana!
 
Watanzania tuna kazi nzito...sasa huyo Diamond anakwenda bungeni kufanya nini...

Tuliwashauri mtu kugombea ubunge walau awe kidato cha sita na div 3 au Diploma ya walau upper second.

Kujaza watu wa ajabu ajabu bungeni ndiyo matokeo yake hata kuhoji How & Why hakuna, uwezo wa kujenga hoja sifuri...just making numbers...na linaloumia hapo ni Taifa na si CCM.


Kwa kweli haipendezi kutujazia watu wa ajabu ajabu bungeni kama Diamond platinums, kama issue ni wasanii wawe wabunge kuna watu wenye busara na Elimu ipo Kama wakina Mwana FA na AY

Yaani Diamond kujenga Madrasa na MSikiti kigoma eti aongwe Ubunge hapana kwa kweli

Watoto wake katelekeza South Africa huko wanalelewa na wanaume wenzie ndio hasishindwe kutelekeza kigoma ?
 
Back
Top Bottom