Zitto yuko kwenye level zingine.. Kasema anapenda kuwa Rais.. Kwa hiyo sidhani kama 2020 atagombea ubunge.. Nadhani atagombea urais.
Ninaamini kuwa 2020 Rais Dr Magufuli atazoa kura zote yaani siyo chini ya 90% ya kura zote! Believe me or not but this is the reality.