ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Chai ya moto bila kitafunwa.....lakini hata Amber Rutty amesema atagombea kule aliko msukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipo Diamond ni juu zaidi ya wabunge kiuchumi na kiumashuhuri.....sasa anafuata nini kule bungeni ni siku hizi hakuna dili? Hata Harmonize namuonea huruma sababu hajui sarakasi za sihasa...na washauri wake wanafuata upepoKwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Ukiwajaza bungeni watu kama wakina Diamond,Shilole,Harmonize,Prof J inakua vzr zaidi maana hao elimu kwao ni majanga so tukileta miswaada hakuna kipangamizi tofauti na ukijaza bunge la watu wa dizaini ya Lissu-Walisikika wana CCM wakijadili.Alipo Diamond ni juu zaidi ya wabunge kiuchumi na kiumashuhuri.....sasa anafuata nini kule bungeni ni siku hizi hakuna dili? Hata Harmonize namuonea huruma sababu hajui sarakasi za sihasa...na washauri wake wanafuata upepo
Zitto kabwe hawezi shindwa ubunge Kigoma,labda sio hii Kigoma yetu, Zitto ndio mgombea ambae akigombea jimbo lolote la Kigoma anashinda.Kwa akili za watanzania,Diamond hata akigombea Urais anashinda.Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Kingwendu umemsahauHilo bunge 2020, Harmonise, Diamond na bado Shilole .
Umeniwahi nilitaka kusema hayo hayo Diamond kwa mwaka anaweza tengeneza ata sh billioni moja ubunge ye aufanyie nini zaidi ya kumpotezea muda.Alipo Diamond ni juu zaidi ya wabunge kiuchumi na kiumashuhuri.....sasa anafuata nini kule bungeni ni siku hizi hakuna dili? Hata Harmonize namuonea huruma sababu hajui sarakasi za sihasa...na washauri wake wanafuata upepo
Kwahiyo mkuu unamaana wanaoishi Kigoma wameliwa nafunza?.Acha dharau kiongozi chuki yako kwa Zitto kabwe isisababishe uwachukie wanakigoma wote.Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Kingwendu aliuza jimbo 2015 hana maana kabisa.
Maneno ya mwisho umeniwahiKwa akili za watanzania,Diamond hata akigombea Urais anashinda.Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Vipi kuhusu watunga sheria za vijiji na mitaa ambao hawawezi ata kujaza fomu zao kwa ufasaha?Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Unafurahia a Sana mkuu, ulipaswa kuprotest wakati Prof J anatia nia, wakati Sugu a.k.a Moto chini anatia nia. Ha ha ha ha kwakuwa Hawa wqlipitia upinzani it was okey kwako. And it could still the same Kama Harmonise na Diamond wangetia nia kupitia upinzani, naamini hili povu lako lisingetoka. Tatzo ni kwa vile hawa wanataka kupitia upande ambao huupendi. Kama ni hivyo demockraksia kwako maana yake nini.Tofauti ya Sugu na Diamond ni ipi!? Acha Demockraksia ichukue mkondo wake, let the voters decide si ndo hicho mnalilia kila siku, Uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa. Ha ha ha ha ha Madicteta wa jamii forum mnafuhisha sana. Kwenu Demokrasia ni kukubaliana na misimamo yenu, anaueenda tofauti ni msaliti na hana akiri, nyie ndo mna akiri nyie mna Demokrasia, ha ha ha ha ha. You are so amazing baddy! Huko hifadhini sijui mnaishije na mnaelewanaje!?Kwamba Diamond ndiye ataenda kuishi kigoma akaliwe funza?
Eti Diamond awe mbunge kwenda kutunga sheria zenye manufaa kwa taifa
What shame..
Ndio maana nchi imedumaa hivi kukata viuno na kutunga sheria wapi na wapi?
Nilifikiri hilo, atakatisha ziara zake za mziki kwa vikao vya bunge?Diamond ni mkubwa kuliko ubunge....
Utamharibia kazi zake tu. Ila ni mtanzania naye anayo haki ya kuwa kiongozi.
Hao watanzania wengi ni wa nchi gani au uko na ndoto za kikojozi?Diamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na watanzania wengi hivyo awe makini