Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Safi ,CCM walizoea mtelezo mwaka huu wanatemeshwa viazi vya moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ilikuwa 1.5b au 1.5m?? Tuwe makini na maandishi.Emmanuel Masonga(CHADEMA) amuwekea Deodatus Mwanyika(CCM) pingamizi kwa kuwa alikiri na kuhukumiwa kwa Ukwepaji Kodi na akalipa Fidia ya 1.5 Biliona pamoja na Fine ya 1.5 Million.
Deodatus Mwanyika mgombea wa ubunge Jimbo la Njombe Mjini
Ata Mie nilidhani inabidi uhukumiwe kifungo cha miezi sita.. nadhani yeye ilitakiwa ahukumiwe miezi 4 but all in all.. kukwepa kulipa Kodi ndio inaleta ukakasi, unless labda Taasisi ndiyo ilifanya kosa Hilo na si yeye binafsi na kama ujuavyo serikali INA mkono mrefu.Huyu jamaa hakutiwa hatiani na kufungwa , huyu jamaa ( deo) aliingia makubaliano na dpp ( plear bargain) then akaachiwa kutokana na makubaliano hayo .
Sheria inataka mtu ashtakiwe atiwe hatiani na ahukumiwe kifungo cha zaidi ya miezi 6 . Hilo pingamizi litatupiliwa mbali . Any way Mimi sio mwanasheria Ila nimeichukulia hiyo ishu hivyo so I am ready to be corrected
Fafanua kidogo mkuu..hiyo info ilinipita pembeni.Watu kwa usahaulifu, humu JF situlisoma kuachiwa majimbo 20. Mlijiuliza jinsi watavyoachiwa?
Wakili Mihogo Kweli huyuYani kama wewe ni wakili basi hujawahi kupata mteja hata mmoja, mtu alihukumiwa na mahakama na akapigwa faini au kwenda jela wewe unasema hakuna hukumu iliyotolewa? Ila umejiita Advo
Nasikia ni 1.5b.na 1.5mHivi ilikuwa 1.5b au 1.5m?? Tuwe makini na maandishi.
Kipengele J kinasema Hajaambatanisha picha kwenye fomu za uteuziHaya ndiyo mapingamizi ya maana siyo mapingamizi ya kitoto kama kutokuweka picha au kuandika jina kwa herufi ndogo
Miwa na supu ya bombaBisi zitaisha mapema sana labda miwa mkuu ....
Kimenuka nini? Kwani hukumu yake ilitakiwa atumikie kifungo zaidi ya miezi sita?Kimenuka !
Mbowe aliomba maridhiano kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, unakumbuka majibu yake?Hii mbombo kuna aliyeichokoza. Kwa hakika hii mbombo ni nkafu.
Ushauri wa bure CCM ombeni poo. Watanzania ni wenye kusamehe na kupenda maridhiano.
Shupaza yenu ya shingo imetuacha hoi wengi kwa muda mrefu.
Hata hivyo chelewa ufike.
Hiiiii bagosha!
Mbowe aliomba maridhiano kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, unakumbuka majibu yake?
Kinachomata nikutumikia kifungo cha Miezi na ukitumikie kifungo husikaWakimwacha agombee, basi vyama vya upinzani viache CCM wafanye uchaguzi wenyewe.
Huyo Masonga siyo mwasheria, jamaa ameseoma rural development pale SUA .Mwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.
Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Hadi muda tuna majimbo 23 tumepita bila kupingwa naomba nikuulize kati ya mataga na nyinyi Nyumbu nani amenyooka.Mwaka huu MATAGA watanyooka!
Yaani comments ya kipuuuzi kuwahi kutokea kwa hiyo unaona pingamizi ni Jambo la maaana sana.Hii mbombo kuna aliyeichokoza. Kwa hakika hii mbombo ni nkafu.
Ushauri wa bure CCM ombeni poo. Watanzania ni wenye kusamehe na kupenda maridhiano.
Shupaza yenu ya shingo imetuacha hoi wengi kwa muda mrefu.
Hata hivyo chelewa ufike.
Hiiiii bagosha!
Yaani comments ya kipuuuzi kuwahi kutokea kwa hiyo unaona pingamizi ni Jambo la maaana sana.