Uchaguzi 2020 Ubunge Njombe Mjini; Emmanuel Masonga amuwekea pingamizi Deodatus Mwanyika baada ya kukiri kosa la jinai

Uchaguzi 2020 Ubunge Njombe Mjini; Emmanuel Masonga amuwekea pingamizi Deodatus Mwanyika baada ya kukiri kosa la jinai

Watu kwa usahaulifu, humu JF situlisoma kuachiwa majimbo 20. Mlijiuliza jinsi watavyoachiwa? Jiulizeni Emanuel ni chama gani? Kwa maana halisi ya swali hili. Sio kukimbilia ushabiki maandasi.
 
Huyu jamaa hakutiwa hatiani na kufungwa , huyu jamaa ( deo) aliingia makubaliano na dpp ( plear bargain) then akaachiwa kutokana na makubaliano hayo .
Sheria inataka mtu ashtakiwe atiwe hatiani na ahukumiwe kifungo cha zaidi ya miezi 6 . Hilo pingamizi litatupiliwa mbali . Any way Mimi sio mwanasheria Ila nimeichukulia hiyo ishu hivyo so I am ready to be corrected
Ata Mie nilidhani inabidi uhukumiwe kifungo cha miezi sita.. nadhani yeye ilitakiwa ahukumiwe miezi 4 but all in all.. kukwepa kulipa Kodi ndio inaleta ukakasi, unless labda Taasisi ndiyo ilifanya kosa Hilo na si yeye binafsi na kama ujuavyo serikali INA mkono mrefu.
 
Sasa mbona Deo Mwanyika ni mwanasheria mzuri alisahauje hilo kosa? Lakini huyu anajuana na TL mana walikuwa wote upande wa ACCACIA.
 
Haya ndiyo mapingamizi ya maana siyo mapingamizi ya kitoto kama kutokuweka picha au kuandika jina kwa herufi ndogo
Kipengele J kinasema Hajaambatanisha picha kwenye fomu za uteuzi
 
Hii mbombo kuna aliyeichokoza. Kwa hakika hii mbombo ni nkafu.

Ushauri wa bure CCM ombeni poo. Watanzania ni wenye kusamehe na kupenda maridhiano.

Shupaza yenu ya shingo imetuacha hoi wengi kwa muda mrefu.

Hata hivyo chelewa ufike.

Hiiiii bagosha!
Mbowe aliomba maridhiano kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, unakumbuka majibu yake?
 
Mwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.

Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Huyo Masonga siyo mwasheria, jamaa ameseoma rural development pale SUA .
 
Hii mbombo kuna aliyeichokoza. Kwa hakika hii mbombo ni nkafu.

Ushauri wa bure CCM ombeni poo. Watanzania ni wenye kusamehe na kupenda maridhiano.

Shupaza yenu ya shingo imetuacha hoi wengi kwa muda mrefu.

Hata hivyo chelewa ufike.

Hiiiii bagosha!
Yaani comments ya kipuuuzi kuwahi kutokea kwa hiyo unaona pingamizi ni Jambo la maaana sana.
 
Hiki ni Kipimo kama kuna TUME HURU YA UCHAGUZI,na iwapo MUHIMILI IMARA !!!
Malawi ni nchi ndogo ,lakini Mamlaka zilionyesha kuwa huru kipindi cha uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom