Magabe Kibiti
JF-Expert Member
- Jan 20, 2008
- 292
- 2
Poti
wewe ndio una miss point ya mtanzania
ya kwamba kwanini mapigano yawepo?? Na utahubiri vipi demokrasia kwa wanakijiji wakati wewe ndani mwako kila siku mnachomana visu wewe na mkeo na watoto wenu??
Bado hatujakubaliana na Mtanzania kama mapigano yapo Tarime au ni uzushi tu kama ule uliowekwa hapa wakati wa mazishi ya Wangwe.
Tujifunze kuukubali ukweli .
Niemkuulizeni mbona kwenye maandamano ya amani hua kumejazana askari ??ulishawahi kuhoji hilo?
Ukweli upi huo? kama polisi wangekuja kwa ajili ya maandamano ya amani basi wangesema hivyo na sio kusema kuwa wamekuja "kutuliza fujo" ambazo huwa zinatokea wakati wa uchaguzi tu.
yeyote anayelata vurugu huko home lazima police wa deal naye perpendicularly na aadhibiwe vigorously.
Yalishatokea Pemba, Kiteto, na Dar es salaam. Sidhani kama hii itakuwa ni mara ya kwanza. Kama wewe unafurahia hili hiyo ni juu yako.