Matoke tayari yametangazwa na tume
Mwera 34,545 na Kangoye 28 669
Tbc live- mwera (chadema)aaaaaaaaa! 34,500 votes! Amekabidhiwa cheti cha ushindi
hongera chadema!!!!!!!!! Ushindi kwa demokrasia!
hizi ni kutoka kwa tume au kwa mawakala wa vyama?
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaa!
Kuna watu watalia hapa,ila kwa sababu ya kuwa nyuma ya PC itaondoa aibu ya mtu mzima kulia
Huku tunapopelekwa siko kabisa, CHADEMA wameshinda lakini kumeripotiwa mapambano makali baina ya WanaCHADEMA na Polisi.
tbc live- mwera (chadema)aaaaaaaaa! 34,500 votes! Amekabidhiwa cheti cha ushindi
hongera chadema!!!!!!!!! Ushindi kwa demokrasia!
Hizi ni kutoka kwa Tume au kwa mawakala wa vyama?
Matoke tayari yametangazwa na tume
Mwera 34,545 na Kangoye 28 669
Hizi ni kutoka kwa Tume au kwa mawakala wa vyama?
Mie bado siamini. Pamoja na nguvu yote ya fedha, magogo/vigogo, double helicopter, na fabrications kuhusu kifo cha Wangwe?kama ni kweli mungu ibariki tanzania
Mungi ibariki tanzaniaHa ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaa!
Kuna watu watalia hapa,ila kwa sababu ya kuwa nyuma ya PC itaondoa aibu ya mtu mzima kulia
Mie bado siamini. Pamoja na nguvu yote ya fedha, magogo/vigogo, double helicopter, na fabrications kuhusu kifo cha Wangwe?
Hesabu haibadiliki mku! Hata kama ni kutoka kwa mawakala,kinachofuata nataka nijue huyo wa Mtikila amepata ngapi? Yaani hapo mtikila kapata kichapo mara mbili.Heko CHADEMA,Hongereni Tarime
TBC ndio inatangaza matokeo live hivi sasa