CCM walidhani vitisho vya Polisi na kauli za kejeli za Msekwa na Makamba zitawapa ushindi. Wanatarime hongereni, ni ukombozi dhidi ya makucha ya kifisadi ya CCM. Tukipata wilaya hata 30 kati ya 120 na ushee Tanzania, kama Tarime,tutakuwa tumepiga hatua kubwa.