kama ni kweli mungu ibariki tanzania
Mie bado siamini. Pamoja na nguvu yote ya fedha, magogo/vigogo, double helicopter, na fabrications kuhusu kifo cha Wangwe?
Mkubwa,
Mgombea wa UDP amepata kura mia tatu na ushee, NCCR kura mia tisa na ushee, CCM kura 28 elfu na CHADEMA 34,800..
Kwa matokeo hayo kura nyingi inaelezwa zimeharibika.
Tunasubiri tupewe figures kamili.
Taarifa imetolewa rasmi na msimamizi wa uchaguzi, nadhani details zitapatikana muda si mrefu bila shaka baada ya mabomu kutulia,maana kuna kelele za darfur darfur darfu!!!! hongera chadema kulinda viti vyenu!
CCM walidhani vitisho vya Polisi na kauli za kejeli za Msekwa na Makamba zitawapa ushindi. Wanatarime hongereni, ni ukombozi dhidi ya makucha ya kifisadi ya CCM. Tukipata wilaya hata 30 kati ya 120 na ushee Tanzania, kama Tarime,tutakuwa tumepiga hatua kubwa.
mkubwa,matokeo rasmi haya hapa.
Vituo 406
idadi 146919
waliopiga kura 67,733
kura halali 64,765
haribika 2,938
udp 305
nccr 949
ccm 28,696 42.6%
chadema 34,545 51%
aliekuwa mgombea wa sisiemuu kangoye aaliche;ewa kufika wakati matokeo yanatangazwa.alipofika amedai kuwa hayatambui matokeo ya uchaguzi huo.chakushangaza alishasaini karatasi za matokeo lakini anang'ang'ania majumuisho kwa upya.
I think he has gone mad
Naona mkuu umenuna.
Yaani lundo loote la ma-zecomedy mlilipeleka huko halafy wanatarime na CHADEMA wakawa-prove wrong?
Na bado mna kazi,halafu kasome kwenye gazeti la Nipashe huko Mbeya wamachinga wamewapa kichapo mgambo kwa kuwafukuza maeneo yao ya biashara ili mkwere apite.
Haya ndiyo mapambano yanaanza,sijui una lakusema? Naona angalao wewe unajitahidi kujitokeza hapa leo,hongera ila pole sana mkuu.Nakuombea majeraha ya moyo yapone