Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Ubunge Tarime: Wagombea, Kampeni na Uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Kumekuwa na jitihada za wazi na za makusudi ili itoke kwani kutoitoa ni kuinfluence uchaguzi kwa sababu wapiga kura hawana habari zote kuhusu mambo muhimu ambayo yanaweza kuwasaidia kuamua. Ni sawa na kuwanyima habari au taarifa ambayo inaweza kusaidia kufanya maamuzi ambayo tunaweza kusema ni "well informed".
 
CCM wazidi kuparurana uchaguzi jimboni Tarime

Na George Ramadhan, PST, Nansio


Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamekuwa wakitoa kauli za kukosoana kuhusu mwenendo wa kampeni katika Jimbo la Tarime wameongezeka baada Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mwanza, Clement Mabina kudai kuwa upinzani wa siasa uliopo jimboni huko umesababishwa na Jumuiya za chama hicho kutotimiza wajibu wake kikamilifu.

Tofauti na aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho mkoa wa Tanga, Mwita Waitara ambaye alidai kuwa kampeni za chama hicho zimepoteza mwelekeo kwa kuwa zinawatumia watu wa makao makuu kufanya kampeni na kuwaacha wale wanaojua siasa za jimbo hilo, Mabina yeye alieleza chanzo cha CCM kupata upinzani mkubwa.

Mabina alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua Kikao cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Mwanza kilichofanyika mjini Nansio wilayani Ukerewe.

Alisema kimsingi CCM hakikuwa na upinzani wilayani Tarime, lakini hali hiyo ambayo imejionyesha katika chaguzi mbalimbali jimboni humo imesababishwa na wana CCM wenyewe hususan Jumuiya za chama hicho ikiwemo UVCCM.

Alifafanua kwamba upinzani uliopo Tarime dhidi ya CCM, ulitokana na Jumuiya za chama hicho kusahau matatizo yaliyokuwa yanakabili vijana wa wilaya hiyo.

``Upinzani uliopo Tarime tumeuweka sisi wenyewe kwa kusahau matatizo ya vijana ambao tulikuwa tunawatazama tu wakikaa vijiweni bila kazi hatimaye waliamua kufuata njia yao wenyewe,`` alisema.

Mabina aliongeza kwamba hali hiyo inapaswa kuwa fundisho kwa Jumuiya ya Vijana wa CCM kutimiza wajibu kikamilifu kwa kushughulikia matatizo ya vijana kila yanapojitokeza.

SOURCE: Nipashe


Siasa za CCM zahitaji uvumilivu kwa hakika.

Tulifikiri huu ni wakati wa viongozi wa CCM kuwaambia wana Tarime watawafanyia a nini tofauti na wakati wa marehemu Chacha,badala yake wanatumia fitina na majungu kutaka kupata ushindi usio stahili.

Hatua ya viongozi wa CCM kuanza kugeukana ni ishara kuwa mbio za sakafuni zinafika ukingoni.Nasikitika sana kwa kuwa makamba na msekwa wamejibebesha gunia la misumari na sasa linawachoma.

Bado tutajionea mengi zaidi ya kutia aibu
 
Tarime wamsubiri Kikwete

sogeza Similar Stories
• Mdogo wa Wangwe aihama CHADEMA 09.09.2008 [More]
• Msharika wa Wangwe ajitosa kugombea Tarime 01.09.2008 [More]
• Magazetini leo 04.09.2008 [More]

Na Mwandishi Wetu, Tarime

BAADA ya kuwepo taarifa kwamba huenda Rais Kikwete akawasili mkoani Tarime kwa ajili kuipiga tafu CCM katika kampeni za kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha ubunge na udiwani, wananchi katika jimbo hilo wameanza kujipanga kumkabili Rais Kikwete kwa maswali.

Hali hiyo imeanza kujitokeza baada ya kuwepo na tetesi hizi kwa kipindi cha wiki nzima za kwamba huenda Rais Kikwete akatua jimboni humo wakati wowote kuanzia mwanzoni mwa wiki hii.

Wananchi wanadai kwamba miongoni mwa mambo ambayo wananchi hao wanapanga kumuuliza Rais Kikwete ni vipi alizuia msaada ya mahindi na mchele visipelekwe jimboni humo na badala yake misaada hiyo ikapelekwa nchi jirani ya Kenya.

"Sisi tunachoomba ni kupewa nafasi ya kumuhoji Rais Kikwete ni vipi jimbo ili alichukulie kama Kenya," amehoji mmoja wa wakazi hao aliyejitambulisha kwa jina Chacha Mwita.

Alisema mbali na kumuhoji Rais Kikwete kuhusu misaada hiyo pia watamuhoji ni lini wachimbaji wa maeneo ya Nyamongo watapatiwa machimbo yao na endapo atashindwa kuwapatia majibu ya maswali hayo basi CCM itaondoka patupu.

Walisema hata akiwaahidi kwamba watapewa machimbo hayo ni lazima awahakikishie machimbo hayo wanakabidhiwa kabla ya Jumapili ambayo ndiyo siku ya kupiga kura.

"Kama tutakabidhiwa machimbo kabla ya Jumapili hapo sawa lakini zaidi ya hapo hakuna kitakachoeleweka,"aliongeza mmoja wa wakazi hao ambao hakutaka jina lake litajwe gazetini.


Katika hatua nyingine,mabalozi kutoka nchi za Ulaya mwishoni walikutana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa,Tume ya Uchaguzi na Jeshi la Polisi ili kujadili hatima ya uchaguzi huo.

Katika mkutano huo ambao ulivikutanisha vyama vyote vya siasa ulifanyika Ijumaa wiki iliyopita ambapo miongoni mwa mambo mbalimbali yaliyozungumziwa ni pamoja na hali ya ya kampeni za uchaguzi zinazoendelea jimboni humo.


Hata hivyo Katibu Mkuu wa CCM ambaye ni msemaji wa chama hakuwemo katika mkutano huo hali ambayo iliwafanya wagombea wa vyama vya upinzani kuanza kudai kwamba amekwepa lugha.

Akihutubia mkutano wa kampeni katika mtaa wa Kalonge, mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA, John Heiche alisema kwamba Katibu Mkuu huyo wa CCM hajui Kingereza ndio maana aliamua kuwakacha mabalozi hao.

Hata hivyo baadayegazeti ili lilifanikiwa kukutana na Luteni Makamba ambaye alijitetea kwamba wala yeye hakuwa na taarifa na ujio wa mabalozi hao na wala hausiani nao bali yeye hivi sasa anajihusha na wajumbe wa nyumba kumi.
 
CCM wazidi kuparurana uchaguzi jimboni Tarime

Na George Ramadhan, PST, Nansio


Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamekuwa wakitoa kauli za kukosoana kuhusu mwenendo wa kampeni katika Jimbo la Tarime wameongezeka baada Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mwanza, Clement Mabina kudai kuwa upinzani wa siasa uliopo jimboni huko umesababishwa na Jumuiya za chama hicho kutotimiza wajibu wake kikamilifu.

Tofauti na aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho mkoa wa Tanga, Mwita Waitara ambaye alidai kuwa kampeni za chama hicho zimepoteza mwelekeo kwa kuwa zinawatumia watu wa makao makuu kufanya kampeni na kuwaacha wale wanaojua siasa za jimbo hilo, Mabina yeye alieleza chanzo cha CCM kupata upinzani mkubwa.

Mabina alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua Kikao cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Mwanza kilichofanyika mjini Nansio wilayani Ukerewe.

Alisema kimsingi CCM hakikuwa na upinzani wilayani Tarime, lakini hali hiyo ambayo imejionyesha katika chaguzi mbalimbali jimboni humo imesababishwa na wana CCM wenyewe hususan Jumuiya za chama hicho ikiwemo UVCCM.

Alifafanua kwamba upinzani uliopo Tarime dhidi ya CCM, ulitokana na Jumuiya za chama hicho kusahau matatizo yaliyokuwa yanakabili vijana wa wilaya hiyo.

``Upinzani uliopo Tarime tumeuweka sisi wenyewe kwa kusahau matatizo ya vijana ambao tulikuwa tunawatazama tu wakikaa vijiweni bila kazi hatimaye waliamua kufuata njia yao wenyewe,`` alisema.

Mabina aliongeza kwamba hali hiyo inapaswa kuwa fundisho kwa Jumuiya ya Vijana wa CCM kutimiza wajibu kikamilifu kwa kushughulikia matatizo ya vijana kila yanapojitokeza.

SOURCE: Nipashe


Siasa za CCM zahitaji uvumilivu kwa hakika.

Tulifikiri huu ni wakati wa viongozi wa CCM kuwaambia wana Tarime watawafanyia a nini tofauti na wakati wa marehemu Chacha,badala yake wanatumia fitina na majungu kutaka kupata ushindi usio stahili.

Hatua ya viongozi wa CCM kuanza kugeukana ni ishara kuwa mbio za sakafuni zinafika ukingoni.Nasikitika sana kwa kuwa makamba na msekwa wamejibebesha gunia la misumari na sasa linawachoma.

Bado tutajionea mengi zaidi ya kutia aibu

Kweli wewe mzee wa gumzo, haya na tuendelee kupiga gumzo.....
 
CCM wazidi kuparurana uchaguzi jimboni Tarime

Na George Ramadhan, PST, Nansio


Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao wamekuwa wakitoa kauli za kukosoana kuhusu mwenendo wa kampeni katika Jimbo la Tarime wameongezeka baada Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mwanza, Clement Mabina kudai kuwa upinzani wa siasa uliopo jimboni huko umesababishwa na Jumuiya za chama hicho kutotimiza wajibu wake kikamilifu.

Tofauti na aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho mkoa wa Tanga, Mwita Waitara ambaye alidai kuwa kampeni za chama hicho zimepoteza mwelekeo kwa kuwa zinawatumia watu wa makao makuu kufanya kampeni na kuwaacha wale wanaojua siasa za jimbo hilo, Mabina yeye alieleza chanzo cha CCM kupata upinzani mkubwa.

Mabina alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua Kikao cha Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Mwanza kilichofanyika mjini Nansio wilayani Ukerewe.

Alisema kimsingi CCM hakikuwa na upinzani wilayani Tarime, lakini hali hiyo ambayo imejionyesha katika chaguzi mbalimbali jimboni humo imesababishwa na wana CCM wenyewe hususan Jumuiya za chama hicho ikiwemo UVCCM.

Alifafanua kwamba upinzani uliopo Tarime dhidi ya CCM, ulitokana na Jumuiya za chama hicho kusahau matatizo yaliyokuwa yanakabili vijana wa wilaya hiyo.

``Upinzani uliopo Tarime tumeuweka sisi wenyewe kwa kusahau matatizo ya vijana ambao tulikuwa tunawatazama tu wakikaa vijiweni bila kazi hatimaye waliamua kufuata njia yao wenyewe,`` alisema.

Mabina aliongeza kwamba hali hiyo inapaswa kuwa fundisho kwa Jumuiya ya Vijana wa CCM kutimiza wajibu kikamilifu kwa kushughulikia matatizo ya vijana kila yanapojitokeza.

SOURCE: Nipashe


Siasa za CCM zahitaji uvumilivu kwa hakika.

Tulifikiri huu ni wakati wa viongozi wa CCM kuwaambia wana Tarime watawafanyia a nini tofauti na wakati wa marehemu Chacha,badala yake wanatumia fitina na majungu kutaka kupata ushindi usio stahili.

Hatua ya viongozi wa CCM kuanza kugeukana ni ishara kuwa mbio za sakafuni zinafika ukingoni.Nasikitika sana kwa kuwa makamba na msekwa wamejibebesha gunia la misumari na sasa linawachoma.

Bado tutajionea mengi zaidi ya kutia aibu

CCM, CCM, na bado lazima MUngu wetu mwenye haki atawalaani , Lazima vifo vya watu masikini wanao kufa bila hatia kwa kukosa dawa ama kushindwa fikishwa hospitali kwa vile ziko mbali kwa ajili ya ufisadi wenu, machozi yao na machungu yao Mungu atawalipeni!

Huku kuparulana ni mwanzo wa laana yenyewe tusubili tu MUNGU WETU ATATULIPIA! Haiwezekeani binadamu wenzetu, tena watanzania nduguzetu mko radhi hata watu wafe alimradi nyie muendelee kutawala!! na mkono wa Mungu mtauona tu! Haka ni kajimbo kamoja, dola na viongozi wakubwa wamejirunda huko kamasi zina watoka, subiri ngoma yenyewe 2010 sijui mtajigawaje!
 
First lady; Mojawapo ya maswali ambayo majibu yake yanasubiliwa kwa hamu ni lile kama baadhi ya wahariri wa magazeti walitumiwa kuandika habari inayofanana kuhusu kuzomewa kwa mwenyekiti wa Chadema, Mheshimiwa freeman Mbowe wakati wa mazishi ya wangwe pale Tarime.
 
Mwana JF mwenzetu JJ Mnyika yuko mikononi mwa polisi pamoja na mgombea ubunge jimbo la Tarime kwa Tiketi ya CHADEMA, mgombea udiwani (nadhani wa Buhemba) pamoja na Dr. Kapwani. Mpaka sasa wameshikiliwa na polisi huko Bomani - Buhemba. Ni wakati wakitokea mkutano wa hadhara.

Hii ni taarifa ya awali, zaidi tutafahamishana
 
FFU wanaweza kukabiliana na raia wenye hasira na mishale endapo hawatatumia njia za kidiplomasia!
 
Habari ya kusikitisha,kulikuwa na Taarifa kuwa Vigogo wa CCM kwa kupitia Mwenyekiti wametoa kibali cha kukamatwa kwa Viongozi wa Chadema kwa madai ya kuchochea fujo.....lakini ukweli wa mambo ni kwamba fujo za Tarime zinafanywa zaidi na wafuasi wa CCM na sio vyama vya Upinzani....hilo limethibitishwa pia na Mkuu wa Polisi wa Tarime Constantine Massawe,ambaye nae nafikiri atahamishwa huko kwani kuna Taarifa Wakuu wa Nchi wanasema haeleweki....na inawezekana ana ushabiki wa Chadema...CCM wana wakati mgumu Tarime,sasa wameamua kutumia Polisi kuwatisha wapiga kura...siku hizi za mwisho kabla ya kupiga kura.....Ndg Mnyika atakuja hapa kutupa ukweli wa mambo,kwa sababu watakuwa nje baada ya muda mfupi!!!
 
Chama cha Mafisadi kitafanya kila uhuni na ufisadi ili kushinda kiti cha ubunge Tarime, kweli CCM imefilisika.
 
Mwana JF mwenzetu JJ Mnyika yuko mikononi mwa polisi pamoja na mgombea ubunge jimbo la Tarime kwa Tiketi ya CHADEMA, mgombea udiwani (nadhani wa Buhemba) pamoja na Dr. Kapwani. Mpaka sasa wameshikiliwa na polisi huko Bomani - Buhemba. Ni wakati wakitokea mkutano wa hadhara.

Hii ni taarifa ya awali, zaidi tutafahamishana

Huyu Dr Kapwani ndio nani?

Naomba taarifa zaidi kuhusu sababu za kukamatwa watu hawa.
 
wanachezea hisia za watu, wanataka watu waandamane, washambulie magari ya Polisi, lile gari la kumwaga maji liwasambaratishe, "hali ichafuke" na watu wawili watatu wauawe na risasi ambazo itahitajika tume kutambua kama ni za Polisi, na by Thursday au Friday (machafuko yakifikia kilele) uchaguzi utangazwe kuahirishwa as I dokezad last week.

Kama wana hekima yoyote wangesubiri uchaguzi upite na mgombea wa CCM akipoteza kukata rufaa kupinga uchaguzi huo. Lakini sasa ni "at whatever cost".
 
Habari ya kusikitisha,kulikuwa na Taarifa kuwa Vigogo wa CCM kwa kupitia Mwenyekiti wametoa kibali cha kukamatwa kwa Viongozi wa Chadema kwa madai ya kuchochea fujo.....lakini ukweli wa mambo ni kwamba fujo za Tarime zinafanywa zaidi na wafuasi wa CCM na sio vyama vya Upinzani....hilo limethibitishwa pia na Mkuu wa Polisi wa Tarime Constantine Massawe,ambaye nae nafikiri atahamishwa huko kwani kuna Taarifa Wakuu wa Nchi wanasema haeleweki....na inawezekana ana ushabiki wa Chadema...CCM wana wakati mgumu Tarime,sasa wameamua kutumia Polisi kuwatisha wapiga kura...siku hizi za mwisho kabla ya kupiga kura.....Ndg Mnyika atakuja hapa kutupa ukweli wa mambo,kwa sababu watakuwa nje baada ya muda mfupi!!!

Pole mjomba Massawe, naona hili jina litakuponza maana tuhuma za "uchaga" na hiyo CHADEMA zinavyoshikiwa bango, wataumia wengi! Msishangae kugundua baadae kuwa kigezo kikubwa cha kumtuhumu kuwa shabiki wa CHADEMA ni hilo jina lake la kichaga kwanza, na pili ikawa ndio huko kukubali kuthibitisha kuwa wana-CCM ndio waliofanya fujo. Hebu kumbuka tu kuwa yule askari polisi aliyekamatwa akinunua kadi za wapiga kura alitetewa na afande wake Tosi kuwa alikuwa kazini, lakini huyu kusema ukweli wa anachokiona imekuwa kero. Pole mangi!
 
Habari ya kusikitisha,kulikuwa na Taarifa kuwa Vigogo wa CCM kwa kupitia Mwenyekiti wametoa kibali cha kukamatwa kwa Viongozi wa Chadema kwa madai ya kuchochea fujo.....lakini ukweli wa mambo ni kwamba fujo za Tarime zinafanywa zaidi na wafuasi wa CCM na sio vyama vya Upinzani....hilo limethibitishwa pia na Mkuu wa Polisi wa Tarime Constantine Massawe,ambaye nae nafikiri atahamishwa huko kwani kuna Taarifa Wakuu wa Nchi wanasema haeleweki....na inawezekana ana ushabiki wa Chadema...CCM wana wakati mgumu Tarime,sasa wameamua kutumia Polisi kuwatisha wapiga kura...siku hizi za mwisho kabla ya kupiga kura.....Ndg Mnyika atakuja hapa kutupa ukweli wa mambo,kwa sababu watakuwa nje baada ya muda mfupi!!!

Mh usitake kunambia tanzania na sisi tunaelekea kwenye ule uonevu wa wazi wazi wa R.Mugabe na Mwaikibaki, kama kwei basi ni balaa
 
Kwa mujibu wa itv, wamekamatwa baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara huko buhemba, wako kituoni, kuna kundi kubwa la wananchi wanaelekea kituoni hapo na huenda kukawa na fujo kubwa

polisi wanawaruhumu kuwa wameamuru wafuasi wao wapambane na polisi kwa kuwatupia mawe
 
Kwa hali inavyoendelea inaonekana hata Mugabe alikuwa mstaarabu kidogo kwake huko wala sio CCM tena! Hii ya kupata ushindi at any cost ni sera ya kimabavu hata wakolono hawakuwa hivyo, itafika wakati wananchi watasema heri wakati wa ukoloni!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom