Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kura zimeanza kuhesabiwa na kwa taarifa za hivi punde ni kwamba Chadema inaongoza kata 4 kwa asilimia 80 zote za Tarime vijijini
mimi nitashangaa kwa sababu sijui kama hila na akili zoote CCM walizotumia wakashindwa,na hata wakiiba halafu wakashinda bado nitawashangaa sana.
Yaani sarakasi zoote zile hadi mtikila kusema na mawe,unadhani ni hali ya kawaida katika siasa kweli? Hadi kumtumia Marehemu kwenye kampeni?
Mkuu ,Mkjj uliona wapi hilo?
Hivi Chadema ikishinda kuna mtu atashangaa? it won't be me.
Nyie shauri zenu musikie chama cha mtikila kimeshinda
Hivi Chadema ikishinda kuna mtu atashangaa? it won't be me.