Kama kweli haya tuliyoambiwa ni kweli, basi pigo kubwa litakuwa kwa mzee Msekwa, na ushindi mkubwa utakuwa kwa TREKTA. Kwani trekta lilikuwa linajua kukomboa majimbo, lakini sasa ni wakati mgumu kwa CCM, ngoja tusubiri yasije kuwa ya mjini magharibi wakatangaza baadae tume ya uchaguzi ikageuza kibao.
Lile liliitwa TINGATINGA