Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na akaendelea kudai eti mvua imenyesha, na kuwa magari yenye masanduku ya kura yamekwama sehemu mbalimbali, wanashauriana na kamanda Tossi namna ya kunasua hayo magari yenye masanduku ya kura! MNAONA MSETO HUO?
na akaendelea kudai eti mvua imenyesha, na kuwa magari yenye masanduku ya kura yamekwama sehemu mbalimbali, wanashauriana na kamanda Tossi namna ya kunasua hayo magari yenye masanduku ya kura! MNAONA MSETO HUO?
Aste aste hilo neno lina maana kali kama hulijui
Muda huu napopost hii thread gari za kubeba masanduku ya kura kutoka vijijini zimekwama njiani kutokana na mvua iliyonyesha usiku huu.Magari machache kati ya mengi yameshafika kituo kikuu cha kujumlishia kura zote.
Hata hivyo kura zote zilihesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo kubandikwa.Awali ilipangwa kuwa matokeo ya udiwani yangetangazwa saa tatu usiku huu na yale ya udiwani yangetangazwa saa sita usiku.Kutokana na kuchelewa kufikishwa kwa masanduku na form 21A huenda matokeo yakachelewa lakini hayatafika asubuhi.
Stay tuned
TBC1 wako live? Nilisikia wao wataleta habari za uhakika na live from TRM.
na akaendelea kudai eti mvua imenyesha, na kuwa magari yenye masanduku ya kura yamekwama sehemu mbalimbali, wanashauriana na kamanda Tossi namna ya kunasua hayo magari yenye masanduku ya kura! MNAONA MSETO HUO?
Breaking News live toka Tarime zimerushwa na ITV na Radio One toka kwa msimamizi wa uchaguzi Tarime nothing official. ITV na Radio One watatangaza live tena kabla ya saa 6 usiku huu. Kaeni mkao wa kula.
star tv wanatangaza sasa hivi, angelo mwoleka anaripoto toka tarime, vituo vyote vya tarime mjini chadema wameshinda kasoro kituo kimoja tu ambacho ccm wamepta around 300, chadema 78. kwa jinsi anavotangaza ni wazi hata huko kwingine chadema watashinda
Lile liliitwa TINGATINGA
Kuna habari za chama cha mafisadi kushinda kiti cha udiwani cha uru mashariki huko moshi kwa margin ya kura 300 tu! Inasemekana kuwa wizi na faulu nyingi zimewaibua kidedea mafisadi
kura ngapi?kwi kwi kwi kwi
Breaking News mbunge wa ccm kashinda
kwi kwi kwi kwi
Breaking News mbunge wa ccm kashinda
Lile liliitwa TINGATINGA