Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hii nchi sasa haya mambo ni utalii tosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani Goliati? kwenye haya mabango tunajifunza mengi someni kuhusu maana halisi ya 'self image' kwakifupi ni tabia ya mtu ambayo inajijenge kwa muda mrefu ambayo huwezi kuibadirisha kirahisi
Kwi kwi kwi! Ngoja tuwaambie kikundi cha hamasa cha chama waende kumsindikiza kuchukua fomu.Nabii Tito kesho anatia nia kugombea Kinondoni.
Hivi huyu jamaa hili Jina la Mashimo ni la kwake? Since alivomdhamini Amber Rutty na hilo Jina vinaendana Sana.
Viongozi wa dini wasigombee kwa kweli.
Hivi wanatoa wapi hizi jezi?
Ayubu alituharibia sana Bunge.Shauri yetu,nchi imegeuka kituko
😂😂😂🤣Bado nabii Tito wakamilishe usajiri..
Atakutana na kichaanmwenzie atatoborewa like lipua kubwaa km shimoasubiri kutandikwa gongo la kichwa .