LGE2024 Ubungo: Kiongozi wa ACT Wazalendo aonya wananchi kupumbazwa na mambo ya Simba na Yanga

LGE2024 Ubungo: Kiongozi wa ACT Wazalendo aonya wananchi kupumbazwa na mambo ya Simba na Yanga

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amewataka wananchi wa Mtaa wa mtaa wa Tupendane, kata ya Manzese katika jimbo la Ubungo kuondokana na uoga ambao unakwamisha jitihada za kuleta maendeleo katika mtaa wao.

Babu Duni ametoa wito huo Novemba 20, 2024 wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho kwa mtaa huo ambapo amewataka kujadili changamoto mbalimbali zinazowahusu na kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika hivi karibuni

Aidha amesema kwamba ACT imekuja na Ilani ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao imeangazia masilahi yao ikiwamo masuala ya ajira, uchumi wa mtaa na kuwa na uongozi ambao unakubalika na wananchi wa mtaa.

============================================================

Ujumbe huu Muruwa umetolewa na Mzee Juma Duni Haji kwenye uzinduzi wa kampeni za Serikali za mitaa.

Mzee huyu anatusanua kwamba kumbe hizi Simba na Yanga zimekuwa zinatumika kupumbaza Wananchi na kuwasahaulisha dhiki ya Nchi ili CCM Iendelee kutapanya na kuuza Mali za Nchi na kuwarithisha madaraka watoto wa Viongozi

Zaidi Mzee Duni huyu hapa

 
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amewataka wananchi wa Mtaa wa mtaa wa Tupendane, kata ya Manzese katika jimbo la Ubungo kuondokana na uoga ambao unakwamisha jitihada za kuleta maendeleo katika mtaa wao.

Babu Duni ametoa wito huo Novemba 20, 2024 wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho kwa mtaa huo ambapo amewataka kujadili changamoto mbalimbali zinazowahusu na kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika hivi karibuni

Aidha amesema kwamba ACT imekuja na Ilani ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao imeangazia masilahi yao ikiwamo masuala ya ajira, uchumi wa mtaa na kuwa na uongozi ambao unakubalika na wananchi wa mtaa.

============================================================

Ujumbe huu Muruwa umetolewa na Mzee Juma Duni Haji kwenye uzinduzi wa kampeni za Serikali za mitaa.

Mzee huyu anatusanua kwamba kumbe hizi Simba na Yanga zimekuwa zinatumika kupumbaza Wananchi na kuwasahaulisha dhiki ya Nchi ili CCM Iendelee kutapanya na kuuza Mali za Nchi na kuwarithisha madaraka watoto wa Viongozi

Zaidi Mzee Duni huyu hapa

View attachment 3157796
Kwa kweli ushabiki wa Simba na Yanga usitusahaulishe maisha yetu.
 
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji maarufu kama Babu Duni amewataka wananchi wa Mtaa wa mtaa wa Tupendane, kata ya Manzese katika jimbo la Ubungo kuondokana na uoga ambao unakwamisha jitihada za kuleta maendeleo katika mtaa wao.

Babu Duni ametoa wito huo Novemba 20, 2024 wakati akizindua rasmi kampeni za chama hicho kwa mtaa huo ambapo amewataka kujadili changamoto mbalimbali zinazowahusu na kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliopangwa kufanyika hivi karibuni

Aidha amesema kwamba ACT imekuja na Ilani ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao imeangazia masilahi yao ikiwamo masuala ya ajira, uchumi wa mtaa na kuwa na uongozi ambao unakubalika na wananchi wa mtaa.

============================================================

Ujumbe huu Muruwa umetolewa na Mzee Juma Duni Haji kwenye uzinduzi wa kampeni za Serikali za mitaa.

Mzee huyu anatusanua kwamba kumbe hizi Simba na Yanga zimekuwa zinatumika kupumbaza Wananchi na kuwasahaulisha dhiki ya Nchi ili CCM Iendelee kutapanya na kuuza Mali za Nchi na kuwarithisha madaraka watoto wa Viongozi

Zaidi Mzee Duni huyu hapa

View attachment 3157796
Muda si mrefu simba na yanga zinaenda kudumaaa....zinapigwa vita sana siku hizi
 
Back
Top Bottom