Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Naona katazo la mihadhara ya kukashifu limeanza kuwaathiri wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona katazo la mihadhara ya kukashifu limeanza kuwaathiri wengi.
Unajua hata reaction za Chemicals zina kitu inaitwa Catalyst. Tulitaka tumgeuze Panya sikuzile ashukuru katoroshwa! Ila kama alitumwa basi aliyemtuma mtasikia habar yake.Aliyekojolea kitabu amewashinda kugeuka panya, leo jeshi!
Mwamunyange anataka kumpindua M.kwere nini?
Hahahaha Sweke34 jana wameenda watu wachache sana vimekuja vikosi vyote mpaka msaada wa mgambo achilia walinda mipaka. Hivi ikija ambush yenyewe nani ataweza zuia kila kona? Refer Egypt jeshi sio kila kitu Mkuu. Mie najaribu kuwaweka sawa wazushi waliojiunga JF juzi na kuanza kashfa zidi uislamu, kwahilo I am sorry sitanyamazaMkuu tuliza mzuka...najua kisago cha jana kinauma...
mi nadhani hao uliowataja ndio wana laana ya mja,maana popote walipo ni matatizo!!!!!!mnawakebehi whites lakin kila kukicha ndo mwakimbilia!!!!acheni unafiki!!!!!hata shule haitawasaidia,tatizo ni hiyo misingi ya imani yenu!!!!!fuatilia kote duniani!!!!!!mungu gani huyo ambaye yeye anadharirisha watu wake na dini yake?kote duniani mna matatizo!!!!!!mna laana nyie!!!!!!!!!
Moja kati ya majibu katika "Vijue vyeo vya jeshi la polisi...viko 16" nilisema JWTZ ni walinzi wananchi, hii ikiwa ni pamoja na polisi....hivyo polisi wakipigwa mbele ya raia si sawa, bali ni kuwadhalilisha. Ila kwanini na hao polisi wacheleweshe msafara wa hao wenye nchi?.....maswali niliyo nayo ni mengi na mwenye uwezo wa kuyajibu alikuwa ni Col. Chimsala..nasikia naye alihamia "Uingereza"kimasomo lakini naamini kuna mwingine badala yake.jeshi la polisi wamepigwa na wanajeshi maeneo ya ubungo mataa kuna hali ya hatari hapa wananchi wamejaa sana
Unajua hata reaction za Chemicals zina kitu inaitwa Catalyst. Tulitaka tumgeuze Panya sikuzile ashukuru katoroshwa! Ila kama alitumwa basi aliyemtuma mtasikia habar yake.
Wewe una matatizo!!!!!na unareflect matatizo mliyonayo!!!hapo unazungumzia nini?Adamu na Hawa kwa mujibu wa maandiko walitenda dhambi bustanini,viumbe wa kwanza kuumbwa!!!!!sembuse hao!!!,mazingira yana athari sana kimwili na kifkra kwa mwanadamu,kama tunavyosema mising ya ujengaj fikra kwenu ni matatizo!!ndo maana kote mna matatizo!!!uwe mkweli tu,angalia uongozi huu!!ni kituko,mzee Ruksa kituko kingine,lazma ujue kwamba binadamu si viumbe vitakatifu!!!!lakin sio mantiki ya kuhalalisha dhambi!!!yanayojificha ndani yenu yaweza kuwa ya kustaajabisha!!na hili linaonyeshwa na fikra mgando mlizonazo!!!!!ok bwana kila la heri!!karibu ughaibuni,utulize mawazo mpendwa!!!
Hahahaha Sweke34 jana wameenda watu wachache sana vimekuja vikosi vyote mpaka msaada wa mgambo achilia walinda mipaka. Hivi ikija ambush yenyewe nani ataweza zuia kila kona? Refer Egypt jeshi sio kila kitu Mkuu. Mie najaribu kuwaweka sawa wazushi waliojiunga JF juzi na kuanza kashfa zidi uislamu, kwahilo I am sorry sitanyamaza
Unajua hata reaction za Chemicals zina kitu inaitwa Catalyst. Tulitaka tumgeuze Panya sikuzile ashukuru katoroshwa! Ila kama alitumwa basi aliyemtuma mtasikia habar yake.
Ooohh ngoja tuangal;ie Ngumi
sasa Mwamunyage Vs Mwema, nani zaidi, utaskia kuna mijitu lazima iitaje
CDM tu
Mshenz nini mbona we ushasema.
kweli nchi haitawaliki