Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

tulia sheria ifanye kazi yake, hatuwezi tukawa tunachagua makosa ya kushughulikia watu
 
Acha personal attack jikite kwenye hoja
 
Vyangu doa wa siku hizi ni wasomi waliokosa ajira tofauti na wa zamani..mkuu wa wilaya analo!
 
Maadili ya kitanzania mkuu
πŸ˜‚οΈπŸ˜‚οΈπŸ˜‚οΈπŸ˜‚οΈ kuna siku atakuja kichaa aseme tusitumie JF kisa maadili. Tujifunze kutengeneza sheria za kutuongoza. Hiyo biashara haijaaanza leo na Kama hakuna sheria Basi kuna watu kwenye KUENDESHA nchi wananufaika nayo.
 
Mwana kulitaka......... . Na hilo ni lake mwenyewe walishaonywa sana kufuata sheria na kuacha ubabe wa kishamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…