Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa anadai huyo ni jiniπππππ
Alikataa kua haihusiani na Chama cha ShetaniDuhπanajua maana yake au naye ni mfuasi?
Dogoli kinyamkelaSasa anadai huyo ni jini
Nagongea na msumali kabisa πBinafsi sijaona kitu chochote cha kutisha kwenye hii mada. Naona tu sanaa nzuri za kiubunifu kwa kutumia maumbo ya kufikirika na wanyama mbalimbali.
Kinachoniudhi tu ni hii nadharia ya kwamba kila kitu kinachohisiwa kuwa kibaya kinapewa rangi nyeusi π‘
Tukuweke kwenye chumba cha giza ambacho huwezi kuona chochote hatukufungi macho tunakuacha unaona giza tupu, chumba chenye mbu wa kutosha, tukuwekee na jamaa mmoja alievalia miwani ya kuona mtu alie gizani akiwa ameshika mkia wa tai mkononi na nguo za kuzuia mbu wasimng'ate, kisha jamaa aanza kukuwesha mboko mfululizo huku mbu wanakufaidi, wewe utakachokiogopa ni nini a) giza, b) mbu au c) mikwaju kutoka kwa mtu ambao haumuoni?kila kitu kinachohisiwa kuwa kibaya kinapewa rangi nyeusi
Mungu, malaika, nk vyote huonyeshwa vikiwa vyeupe ila inapokuja kwa shetani, majini nk ndio rangi nyeusi hutumika. Mbona hawatumii nyeusi kuonyesha nguvu, utawala na uwezo wa mungu?
Giza litanitisha zaidiπTukuweke kwenye chumba cha giza ambacho huwezi kuona chochote hatukufungi macho tunakuacha unaona giza tupu, chumba chenye mbu wa kutosha, tukuwekee na jamaa mmoja alievalia miwani ya kuona mtu alie giza akiwa ameshika mkiwa wa tai mkononi na nguo za kuzuia mbu, kisha jamaa aanza kukuwesha mboko huku mbu wanakufaidi wewe utakachokiogopa ni nini giza, mbu au mikwaju kutoka kwa mtu ambao haumuoni?
Jibu hili swali halafu nitakwambia kwanini giza au rangi nyeusi inahusishwa na mambo meusi
AI itakuwa ilikuwepo toka kipindi hicho πA
chana na habari za kusemekana namana hata mfano wa picha kipindi hicho akilini mwa binadamu haikuwapo si ni ubatili tu lakini twende tu hivyo hivyo
Sasa ndio ujue kwanini giza, mzungu bila kutengeneza manati zile ni mwepesi sana kwa black niggaGiza litanitisha zaidiπ
Thigh Gape Ya Huyu Bibie Imenidindisha Vibaya Mnoo,,Na Hiyo String Ndio Kabisaaa Unaisogeza Unachomeka Huwaga Hatuzivui Hizo Kutoka Kwa Vipenzi Vyetu.Nishati ya kihisia inapaswa kwenda mahali fulani,.....! na kujichukia ni hisia yenye nguvu. Ikigeuzwa ndani kwa ndani, inakuwa jehanamu yetu na gereza la kibinafsi. Madawa ya kulevya, obsession, kulazimishwa, huzuni, mahusiano ya vurugu, magonjwa. Ikikadiriwa kwa nje inakuwa kuzimu yetu ya pamoja. Vurugu, vita, uhalifu, dhuluma. Nk View attachment 3257999Lakini yote ni kitu kimoja. Kuzimu kuna majumba mengi pia...π₯π₯
Nitatuma kesho nikipata nafasiTupe picha
Ndio kesho nitapiga pichaMmh Lutheran kabisa?
Ukituma nitag na mimi nitapiga picha nyumba ya udongo iliyopo maeneo ya mjini daslamuNdio kesho nitapiga picha