Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kuna nini kingine zaidi ya ushirikinaYeah ni mpana sana si lazima uwe ulozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini kingine zaidi ya ushirikinaYeah ni mpana sana si lazima uwe ulozi
Qashy LilithHuyu ni Lilith.. Mwanamke anayesemekana kuwa mke wa kwanza wa AdamView attachment 3258006
Hizi ni code za kishetani samahani lakini
Jamaa yetu kaiweka moja kwenye meza yake aliokota huko Sweden akainunuaZinauzwa!
Ungependa kununua moja au zote? Kuna punguzo zuri la beiView attachment 3258019
chana na habari za kusemekana namana hata mfano wa picha kipindi hicho akilini mwa binadamu haikuwapo si ni ubatili tu lakini twende tu hivyo hivyoHuyu ni Lilith.. Mwanamke anayesemekana kuwa mke wa kwanza wa AdamView attachment 3258006
Dogoli kinyamkela ndio huyu kwa wasio mfahamu
Halafu agauke sura iwe haionekani
Hiyo namba 4 na 11 zimekaa kitorati sana 😅😅😅Haya mambo yana nguvu kubwa sana nyuma .. Usijaribu kujifunza ama kuyasoma kama hauko vizuri kiimani na kiroho..YATAKUYUMBISHA SANAView attachment 3258054
Hii mbona iko lovely
Kanuni hizo za kishetani mbona ni madini matupu, kumbe saazingine shetani ni useful?Haya mambo yana nguvu kubwa sana nyuma .. Usijaribu kujifunza ama kuyasoma kama hauko vizuri kiimani na kiroho..YATAKUYUMBISHA SANAView attachment 3258054
Kuna kanisa la Lutherani kkt...hapa karibu na kwangu wamejenga kanisa wameweka jicho kam hilo mbele ya kanisa...so au jicho lina maana nyingi? Kwako mshanaAlama kuu ya satanismView attachment 3258016
Daaah mkuu Sasa umenichoka eti😂😂😂😂Dogoli kinyamkela ndio huyu kwa wasio mfahamu
Tutaivaaa....
Kumbe kume damshi ivi😂😂😂😂
Unajaribu kumaanisha Nini😹😹😹
Saumu imekabaMmmhhh
Tupe pichaKuna kanisa la Lutherani kkt...hapa karibu na kwangu wamejenga kanisa wameweka jicho kam hilo mbele ya kanisa...so au jicho lina maana nyingi? Kwako mshana