Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh apo naingia navyo ndani mkuu Dunia sio mbaya ila walimwengu ndo wabayaHapo ukiingia ndani kila kitu unakifungia kwenye makabati
0781515650Kwa kawaida hata maji ndani ya nyumba hupaswi kuyaacha wazi usiku
Kama unatumia gas,upepo tu ni tatzoDesign nzuri, Mvua za upepo vipi?
Kwani vp, huwezi kutumia sliding curtains za kufunga uwazi kule kunakoweza kuingiza matone ya mvua?Hapo unarudi ndani hakuna namna😀
Nilichoelewa hapo hilo la nje ni kwa ajili ya luxury tu,hali ya hewa ikiwa sio hawakai hapoLakini upepo si mara zote
👍✔️✍️Huu ujenzi ni nje ya miji ndio kuzuri kwenye less population