Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Unaludi✖️Unaludi ndan mwendo wa ngiri😂😂😂
Unarudi✔️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaludi✖️Unaludi ndan mwendo wa ngiri😂😂😂
Nime kusaidia nn wewe izo spelling kwenye maisha haya ya mwendo Kasi na mvurugano😂😂😂😂😂Unaludi✖️
Unarudi✔️
Mkuu; Panya kamwe hakaagi mahali penye Paka na Bundi kwani panya ni chakula kwao i.e. panya ataliwa fasta.So nice ila huku kwetu shida itakuwa vumbi, paka, panya bundi na ngedere
Unatakiwa ushukuru nimekupa elimu bure wenzako wanalipiaNime kusaidia nn wewe izo spelling kwenye maisha haya ya mwendo Kasi na mvurugano😂😂😂😂😂
Hizi ni dizaini za majiko ya nje kwa ambao wameshajipata au kwa ambao viwanja vyao ni vikubwa na wanapenda vitu vizuri
Bar wanajenga heshima kama kawa lakini home nako hawakusahau
Heshima juu ya heshimaView attachment 3246663
[/QUOT nzur sana
Bonge la tacticksMkuu; Panya kamwe hakaagi mahali penye Paka na Bundi kwani panya ni chakula kwao i.e. panya ataliwa fasta.
Kwa habari ya Ngedere fanya hvi: Jitahidi umkamate ngedere mmoja akiwa hai halafu umvike kengele ile ya mbuzi shingoni ifunge imara sana kisha umwachie huru. Huyo ngedere mwenye kengele atawakimbizia mbali sana ngedere wenzake kwani kila akiwafuata lazima wamkimbie (ni tishio kwao)na yeye lazima ajitahidi kuungana nao kwenye kundi. Wote watakimbia na kukimbizana na mchezo utaendelea mpaka ngedere aliyevishwa kengele afe kwa uchovu na upweke na hawatokaa warudi tena hapo. Shida nnayoiona hapo ni vibaka.
🤣🤣😆Mkuu; Panya kamwe hakaagi mahali penye Paka na Bundi kwani panya ni chakula kwao i.e. panya ataliwa fasta.
Kwa habari ya Ngedere fanya hvi: Jitahidi umkamate ngedere mmoja akiwa hai halafu umvike kengele ile ya mbuzi shingoni ifunge imara sana kisha umwachie huru. Huyo ngedere mwenye kengele atawakimbizia mbali sana ngedere wenzake kwani kila akiwafuata lazima wamkimbie (ni tishio kwao)na yeye lazima ajitahidi kuungana nao kwenye kundi. Wote watakimbia na kukimbizana na mchezo utaendelea mpaka ngedere aliyevishwa kengele afe kwa uchovu na upweke na hawatokaa warudi tena hapo. Shida nnayoiona hapo ni vibaka.
Elimu gani mkuu pita ivi elim ya kiswahili 😂😂😂😂Unatakiwa ushukuru nimekupa elimu bure wenzako wanalipia
Hata kingereza nafundisha unataka?Elimu gani mkuu pita ivi elim ya kiswahili 😂😂😂😂
Najua kichina,France, English, Italian nk lakin uwez kuta najigamba apa kama ww mkuuHata kingereza nafundisha unataka?
Nifundishe kichinaNajua kichina,France, English, Italian nk lakin uwez kuta najigamba apa kama ww mkuu
😂😂Nifundishe kichina
好的,没问题,我教你Nifundishe kichina
现在教我,别迟到。好的,没问题,我教你
没关系,老公,什么都别想现在教我,别迟到。
为什么叫我丈夫,你是女人吗?没关系,老公,什么都别想
我哪里叫你老公了,不然你要开始吵架了?为什么叫我丈夫,你是女人吗?